Nimesikiliza Radio wapo asubuhi hii kuna habari zinasema kuna kijana amekojolea kurani na sasa polisi wanamshikilia, kuepika hasira za jamii iliyomzunguka.
Mwenge kuweza kufunga na kuomba afanye hivo maana kwa nguvu za kibinadamu haiwezekani, ni Mungu pekee ndio anaweza epusha maafa yasitokee, maana yeye ndio mfalme wa amani, na hua hatetewi anajitetea mwenyewe sisi jukumu letu ni kumwomba tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.