Hivi aliyetaarifiwa kwamba raisi amefariki ni mkuu wa majeshi au mkuu wa majeshi ndo alikuwepo wakati mheshimiwa raisi alipokuwa anakata roho??!!!!
Hebu angalia Aya ya nne ya thread yako na ufuatilie mazungumzo ya CDF vizuri
Huo ni mtazamo wako. Hakuna chama kilichoanzishwa kikose msingi, maono na ushawishi. Sijui unaishi nchi ya "Kusadikika" ambako huwenda uliyoandika hapa yana ukweli pasi na shaka
Lakini kama unaishi katika nchi Hui labda were unanufaika na mfumo uliopo. Nakubaliana na wewe kwamba nguvu ya umma...
Hivi maana halisi ya chama cha siasa ni ipi? Kuna mahali katika ufafanuzi wa maana ya kinachoitwa chama cha siasa utakosa kugusa kitu kinaitwa "kikundi?"
Hivi CCM sio kikundi cha watu kinachounda dola? Mbona uko mweupe sana kichwani? Tuna safari ndefu sana kukomboa fikra zetu.
Nikurudishe...
Lawama sio wapinzani, laumu mfumo uliojengeka katika nchi hii au otherwise kama hautalaumu mfumo wa kimazingira uliopo basi ni dhahiri kwamba wewe pia ni sehemu ya wale wanafurahia mazingira magumu yaliyopo kwa washindani wao halafu mnakuja na vihoja vya kuhalalisha udhaifu unaoonekana kwa...
Kwa mifumo iliyopo na iliyojengeka nchini kamwe haitatokea chama shindani kuingia madarakani hata kwa miaka 50 ijayo. Never kabisa. Kumbuka jambo tu, "Mkono unaokulisha huwezi kuukata." Hata na wewe naamini huwezi kuukata. Ndio mazingira yaliyojengeka nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.