Mhe. Tundu Lissu, wewe ni mgombea wa urais. Sote tunatambua ya kuwa urais ni taasisi. Hivyo ni muhimu sana kwa wewe kujijenga kitaasisi ukiwa mgombea. Kwa jinsi ninavyoshuhudia katika kampeni zako wewe umekuwa ndo kila kitu yaani wewe ndo msemaji wewe ndo Katibu wa chama.
Sioni haja ya wewe...
Mfumo wa kutumia lugha moja tu ya kiingereza kufundishia katika elimu yetu hauwezi kuwork katika shule zetu.
Kumbuka unavyokuja na mambo haya tambua tupo over 50 million. Tatizo la wanasiasa kama Lissu mnapoona mnameneji peleka watoto wenu international school basi mnafikiri ni rahisi kiasi...
Mhe. Tundu Lissu, ukitaka uishinde CCM kwanza anza kuwa Rais ndani ya chama chako, Pili ukiwa Rais wa chama chako ondoa makando kando yaliyopo ili kipate mvuto katika jamii.. Ukifaulu hayo gombea sasa.. unaweza kufanikiwa kupata ushindi wa angalau asilimia 35. Kinyume na hapo utaendelea tu...
Ndo tatizo la kuchukua habari za mitandaoni na kuzigeuza sera.. mara ooh tunawaunga mkono ACT wakati leo mgombea wao karudisha fomu ZEC ya kuteuliwa kugombea
Kimsingi Ilani ya CHADEMA haina jipya na hii inamfanya Lissu aloose focus.. Hata ukifuatilia hotuba zake hanadi ilani ya chama chake. Bahati nzuri watanzania hawana interest tena na siasa za kiuwanaharakati hata akichochea fujo namna gani ataungwa mkono na wachache tu wa mitandaoni ambao wengi...
Kadili siku zinavyoenda kuelekea uchaguzi mkuu CHADEMA ndo wanazidi kujipunguzia kura. Chama kinazidi kukosa uelekeo sitashangaa CHADEMA kupata ushindi wa asilimia 15.
Mhe. Tundu Lissu, tunakupenda sana na tunaendelea kukuombea hadi mwisho wa uchaguzi huu uendelee kuwa na afya njema maana tunatambua pasipo shaka yoyote huwezi kumshinda JPM hata utumie propaganda gani. Ushauri wangu jikite kwenye kunadi sera zako ili angalau chama chako kipate walau viti viwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.