Mkuu pole, ila comments za wadau zisikutishe sana.
Ni kweli karma ipo ila sio lazima ikurudi kwa staili ile ile ya kosa ulilolifanya. Kama ni kukurudi inaweza kukurudi kwa namna nyingine kabisa kiasi kwamba usiweze kujua kama umesha lipia kosa lako.
Kwahiyo wewe itulize nafsi yako na binti...
Upo sahihi.
Wakati nikiwa young kiddo hiyo namba 3 ilinipa tabu sana, ila nature ya dunia yetu ilinifundisha kui master... Nowadays ukijaribu kulazimisha eye contact wewe ndio utakimbiza jicho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.