Kwamtoro, nakibaliana na ww. Maana mahusiano ni mchango wa kila upande. Kama unamjali alaf yy hana mda na ww. Jua umeliwa. Wadada wengi wanakuwa na sbabu za kumwagwa kwa sababu hizo.
Kwa kuwasaidia, yule dada wanaefanana sana katika kwaya yao ni mdogo wake.
Wadada, bado wapo wavulana mahandsome na wenye kujiheshimu. So, msikate tamaa, what God has planed for u will remain intact.
Huyo anayepinga mawakili kuitwa wasomi, yeye alishawahi kuitwa au kuita msomi akona matokeo yake? Na je kama yy hayuko katika legal fraternity, hiyo ina muuma nn?
Ebu nimuulize, kuna shida mama kumuita baba darling?
Unapokuwa katika mahusiano alaf mwenzio (demu) akiishiwa kitu anakupa taarifa tu. Mf, mr x nimeishiwa vocha au sukari au Luku una mpa; na wewe siku unamtega kuwa huna Luku yeye anaufyata, je kuna mapenzi hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.