Pole mkuu. Kama imefika mahali akawa hana woga wa kumleta nyumbani jua ushaibiwa sana si chini ya miaka mi-4.na kama kaondoka mwenyewe jua kashafanya mengi kiasi kwamba hata ujasiri wa kutafuta suluhu hana. Funga maduka kama waweza uza gari,tafuta jingine,anza upya jua hapo huna mtu
Kuokoka sikuhizi kunatumiwa kama kilemba tu cha kuficha mambo yao. Na wao wanaibana kama kawaida tu sema wanaona dhambi kutembea na asiyeokoka. Kwani hujasikia mtumishi wa bwana aliyempa mimba mke wa mtu hukohuko kwenye ulokole?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.