Just simple mind why she think that she should be special MP why not Dr. Slaa . Jamaani ujinga wa Mwaafrika !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Kwa maoni yangu na uchambuzi wa hali ya chini( simple analysis) hana chama ila ni opportunist maana yake yeyeto ambaye yuko kenye power na anafikiri anaweza kumu accommodate anaweza kuwa al-line wake
Nasikitika sana kama kuna watanzania wanajiita wasomi hata hawajui maana ya CV wanafikiri elimu ndiyo Cv elimu ni sehemu tu ya Cv Kushindwa Form II haina maana huyu ni mtu asiyefaa katika jamii. Mchango wake kwenye jamii ndiyo kitu cha maana na ndicho cha kuangalia kwenye CV kuna watu maarufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.