Asslm aleikum.. Ramadhan Karim..
Just nakuja kuowaoneni after looooong kupotea. Hamjambo nyote. Jana nilipata email kutoka JF kunikumbusha kama sijapita siku nyingi. Nawashukuru JF team. Nakutakieni Edi Mubarak.
Hahaha, labda umtafune maana meno mengine yana poison, nafikiri yakitoka maji-maji time ya kunyonya ndio inaweza kuleta madhara kwa mwanaume au mtoto. Ama kama makavu naona hamna mushkila.
Hamna condom ya mdomo - hahaha.
Dear wapendwa & marafiki..
After looooooooooooooooooong time, leo nimepita kuwasalimu nyote wapenzi na marafiki JF. JF hamjambo? Wengi hawanijui but salaam ni makumbusho.
Blue_Face.
nyota njema hutokeza mara moja, nenda kamuone na usichelewe kula sambusa.
juzi juzi likutana na bahati hiyo, demu ananipigia simu kama hana akili uzuri na eti
ananijuwa, mimi simjui - tukapema miadi tuonane saa 10 (4 am) alfajiri kumona
nilitaka kutoka mbio lakini nilivutiwa na body yake...
kaka, ni bora kakuletea mchumba mapema - usitizame ni kabila gani, awe mtarabu na heshima yake na aweze kulea bint yako kwa hali na mali. Ni bora kuliko angalikuletea mimba/katoto bila ya mdoa. Hongera in advance mkuu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.