Jiwe katuma mtu kuiba komputa ya Dpp ili awaachie wahujumu uchumi waliokataa kutubu kisha pesa walizolipa waliotubu azichukue kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwakani. Janja yako tunaijua
Hatutaki udaku leta hbr za magazeti ya binadamu Kama the Monitor, The Guardian UK, American Today, Tzeitung nk. Sio unaleta za magazeti ya nyimbo na mapambio hapa. By the way TL akiwa Raisi wa Nchi hii tutapata maendeleo ya Kweli sio ngonjera za mzee Abunuasi hapa
Hata Kama hiyo legitimacy haipo kwa Akili za Hawa jamaa sioni Kama wanajali Sana. Sijui kwanini wanaonekana kujali watu kujiandikisha maana sijawahi kuhisi Kama Hawa Wana Akili timamu za kuhofia Jambo lolote la kistaarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.