Recent content by Betoratekha

  1. B

    Jijue, wewe ni beberu

    Kuna mtu anamchukia Sana kwasababu yeye anamchukia sana wengine.
  2. B

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Malaika huwa wanaugua? Ndio mjue huyo mnayemwabudu sio malaika Wala Mungu ni udongo Kama yalivyo matope ya Jangwani pale Klabu ya Yanga. Nyambaf zenu
  3. B

    Ugaidi, Mashehe wa Uamsho na Uislamu ni dhana tu? Waislamu Wang'aka

    Ninatumai siku moja utakuja kuamini hawa wanaoitwa Magaidi ni Waislamu safi
  4. B

    Ugaidi, Mashehe wa Uamsho na Uislamu ni dhana tu? Waislamu Wang'aka

    Kama alivyothibitisha mtoa mada au hujui kusoma hata Picha huoni
  5. B

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    TAL Yuko wapi? Hajuna ajabu kwa mtu yeyote kutoweka iwapo alihusika kutowesha wenzake.
  6. B

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Jiwe katuma mtu kuiba komputa ya Dpp ili awaachie wahujumu uchumi waliokataa kutubu kisha pesa walizolipa waliotubu azichukue kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwakani. Janja yako tunaijua
  7. B

    Serikali yashinda rufaa, Wakurugenzi kuendelea kusimamia chaguzi

    Du wamekubonyezea mama yako nini?
  8. B

    Tundu Lissu asisitiza kugombea urais

    Hatutaki udaku leta hbr za magazeti ya binadamu Kama the Monitor, The Guardian UK, American Today, Tzeitung nk. Sio unaleta za magazeti ya nyimbo na mapambio hapa. By the way TL akiwa Raisi wa Nchi hii tutapata maendeleo ya Kweli sio ngonjera za mzee Abunuasi hapa
  9. B

    Uandikishaji Wapiga Kura 2019: Baadhi ya hoja za wasio tayari kujiandikisha ni hizi...

    Hata Kama hiyo legitimacy haipo kwa Akili za Hawa jamaa sioni Kama wanajali Sana. Sijui kwanini wanaonekana kujali watu kujiandikisha maana sijawahi kuhisi Kama Hawa Wana Akili timamu za kuhofia Jambo lolote la kistaarabu
Back
Top Bottom