Wakati diamond anamwambia mwenzake anapumuliwa KISOGONI hukuona kama ni tatizo....at least now mmekuwa kwenye attention. ......ommy matusi yote alikuwa anakaa kimya leo. ....mnamwandama. ..kawakomesha shubati!!!!!!!! Mfundeni mswahili wenu ...Tatizo malezi ya kiswaziiiiii yakutane na ulimbukeni...
Kitu Mungu alitunyima Watz ni vya muhimu sana.... Honesty. .......Intelligency. .....Humanity. ....Understanding. ..... Patient. ...hakuna siku Watz wote watakuja kuja kusimama kwa pamoja kwenye kitu kimoja..cha msingi ni either simba or yanga. .,dai or kiba....ccm or ukawa.....bashite or...
Nadhani, Eddo katoa mawazo yake....kama we unavyotoa yako hapa na huku wengine tukitoa mawazo yetu kwenye mawazo yako...kama we ulivyotoa mawazo yako kutoka kwenye mawazo ya Edo. Nadhani Watz inabidi tujifunze kuheshimu mawazo ya mtu...hata kama ni kinyume cha mawazo yako
Kutokana..na ulichoandika...nimeelewa kuwa una blame..upande wa pili na wa tatu...democracy ina sehemu tatu..utawala...upunzani..na wananchi...ukiangalia...matatizo mengi ya kisiasa..barani Africa yanaletwa..na upande wa serekali..pale wanapitakiwa..kuwajibika..kwa jambo flani...hasa kama jambo...
Sijaelewa pale walikuwa wanapima...nini kwa maana...Hata uwe fresh from school huwez solve maswali 18 ya hesabu kwa dakika 14...halafu maswali yenyewe vigongo...
Jamani kuna wakazi tumekatiwa umeme maeneo ya mwenge hii ni siku ya sita...kisa kuna kigogo anataka kujenga hoteli na nguzo ipo kwenye eneo lake nyaya zimeachwa zimeninginia na hao tanesco waliokuja kukata walishuka kwenye hilo gari la huyo kigogo tunafanyaje hapo?na hiyo nguzo inasambaza...
Kwanza kabisa kaka spika ndo mkuu wa bunge kwa kifupi bunge ni himaya yake. Waziri mkuu ni msimamizi wa shughul za serikali bungeni kumbuka excative na parliament ni vitengo tofauti excutive kinaongozwa na rais na bunge n spika... kwa hiyo hata kama ni wazir mkuu akiambiwa akae bungen hana budi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.