CUF wanajua vema nini wanakifanya. Kwa makusudi wanasema haya ili kupata support ya watu wenye upeo mdogo. Wakati mwingine ni underestimation ya ni kwa jinsi gani watanzania wako informed kwa sasa. Ndugu zangu, amini msiamini kwa maneno haya tu wengi wanabaki bila ya kujua nini wakiamini. Werevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.