Kwa siku hizi za leo ambazo kila kitu kiko wazi kabisa nisingetegemea wewe kuwa na mawazo mgando kiasi hicho kwani ulikuwa na haraka gani usifuatilie mwenendo wa matokeo kwanza kisha ndio ulete huo upumbavu wako humu ndani?
Jihadhari na hiyo tabia yako.
Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa Tanzania mh. Anna Tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.
Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya...
Kwa sasa tumeisha fahamu sababu ya kuitwa TUMBIRI lakini hata hilo neno MWIZI halitupi shida kwani tafsiri yake tunaijua.
Ni bora tumejua MWIZI ni nani baada ya tumbili kujitoa muhanga ili tu kuwanusuru wananchi na janga la MWIZI huyo.
Siku zote mwendawazimu huwa hajijui kama yeye ni mwendawazimu ila huwa anawaona wenzake ndio wendawazimu mpaka kufikia kucheka peke yake akiwaonea huruma watu wenye akili timamu kumbe yeye akingali amebaki na wazimu wake.Pole sana.
Na hili nalo unataka tukushauri dada yangu mpendwa?mbona unatupa kazi sana wakati kuna mambo ya msingi kujadili ili tupate nchi yenye maridhiano na sio kulazimishana.
Kwa hili huoni kuwa kuna siku utataka tukushauri ni nguo ya ndani aina gani au rangi gani uvae ili utoke kwenda kwa huyo...
Wewe huna lolote kutokana na hayo maelezo yako moja kwa moja yanaonyesha chuki binafsi "KOMAA WEYE" Unaandika vitu kwa kusikia? Je nayako wakiyasikia waandike humu ndani? Kuweni wastaarabu basi jamani huyo ni MBUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI hamumzungumzii mjumbe wa nyumba kumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.