Walioonfoka walikuwa wagumu kuliko hawa. CCM haijaifikia USSR brother.
CCM haijaifikia Ujerumani na Berlin Wall yake.
Wanaoota ndoto kwamba CCM ni unbeatable endeleeni hivyo hivyo.
Hofu yangu ni kuwa hamtapata muda wa kujadiliana "imeondokaje* kwa sababu hata yenyewe haijui "itaondokaje".
Leo ninaanza na hoja ya upinzani katika siasa Tanzania.
Sitaweza asilani kuzungumzia somo lote la historia ya upinzani wala kina cha ukombozi wa Afrika. Lakini katika kuhawilisha somo nitawapeleka kwa matukio na wawezeshaji wa baadhi wa matukio hayo.
Wanajukwaa wenzangu.
Upinzani katika...
Sijui tunatafutiana ban.....
Sijui ndo mapolisi waliowekwa mitandaoni ili watu wakitukana wakamatwe washitakiwe kwa makosa ya cyber crime.
Sijui ni madhara ya tabia nchi kwenye ubongo wa mtu....
Sijui......sijui........ sijui....
Lakini najua wazi katumwa mtu hapa. Kama si na mwajiri wake...
Mkuu Sophist! Hoja yako haimjengi yeyote.
Nakuomba sana ujue kuwa wajenzi wa taifa wanabeba mizigo kwa lengo la kunusuru wengi. Wanaojijenga wenyewe wanabebesha wengi machungu kwa ajili ya kutengeneza furaha zao binafsi.
Kama ukijisikia kuwa huna hoja ya kujenga taifa hebu tulia subiri...
Wapendwa wanajamvi!
Siku hizi nimekuwa mbali sana na JF. Hii ilinitokea baada ya kuona jukwaa hili tukufu (ambalo hata sasa naliheshimu sana) limevamiwa na watu (watoto ambao hawajapevuka kiakili) na hivyo wamekuwa wakiharibu kabisa ladha ya mijadala.
Heshima ya mijadala imeshushwa sana na...
Ndugu zangu wantanzania wenzangu;
Amani iwe nanyi!!!
Nimefuatilia kwa kiasi kifupi mjadala wa matumizi ya ISALE hapa jukwaani, nikaona si vema niwaache muendelee kujadiliana kitu hiki kikubwa kwa upotoshaji, ujuzi mdogo na hatimaye mkasababisha kufuru dhidi ya mila za wenzenu.
ISALE ni mmea...
Sijaona mawazo mabaya hapa. Wote mna hoja nzuri na meaningful.
Ninachoweza kuwashauri ni kwamba ukombozi hauko kwenye "bidii" wala si wito. Ukombozi si shughuli ya namna ya kujisikia. Ukombozi si fikra. It is not understanding either.
Ukombozi ni SPIRIT.
Spirit does not die. Those possessed...
Ndugu zangu Amani iwe nanyi.
Mimi si mpitaji sana katika jukwaa hili. Lakini kwa wakati huu ambao mimi ni mhitaji mkubwa wa msaada wa kisheria nimelazimika kutembelea hapa na kuomba nisadiwe ili niwaokoe wengii.
Nilitangaza yapata mwaka mmoja sasa kwamba nitaipeleka serikali mahakamani...
Wanajamvi,
Kinana atakuwa Mkoani Kilimanjaro kuanzia tarehe 14 - 22/3/2015. Ziara hiyo badala ya kufanyika kwa lengo la kuwatumikia wananchi kama kiongozi wa chama tawala na pia kukijenga chake kwa uhalali, zimelengwa sasa kufanya hujuma kadhaa dhidi ya CHADEMA mkoani hapa.
Taarifa za ndani...
Greenwhich; inawezekana hujui huyu anayejiita utaifakwanza ni nani. Huyu ni bwana Paul Makonda. Kwa kweli uliyosema ni ukweli mtupu. Mimi sithubutu kujibizana naye, maana akili yake na uzalendo wake ni tofauti sana vyangu. Hata kwa Id peke yake utaona mimi na yeye nani mnafiki. Yeye hathubutu...
Karibu sana mkuu!
Najua umepewa tahadhari nyingi. Lakini mimi nikupe moja tu ambayo itakufanya salama katika muda wote utakaokuwa Moshi. "Kama una kadi ya uanachama wa CCM iache huko huko kwenu. Usikanyage nayo Moshi! Wenyeji wakijua utaona kimya kimya wanajitenga nawe"
daruweshi na ifweero sikatai ninyi kuilink CDM na kanisa na CUF na Uislamu maana hamjaonesha kinacholitisha taifa kwa vyama hivyo kuonesha hofu kwa Mungu. Lakini pia hamjasema chama chenu CCM kina hofu ya nani?
Kwa hakika huyu mungu mnayemwabudu huko CCM hawezi kuwaacha mnyamaze mnapohisi kuna...
Rich sipingi kauli yako kwamba watu 'wameuawa....haki itendekr' Ninachotaka ukumbuke tu ni kwamba serikali ya CCM inajua sababu za kumtengenezea Lwakatare kesi za ugaidi. 'Haki itendeke' hebu tushirikiane waliolipua mabomu kwenye mkutano wa CDM pale Kaloleni wapatikane. Tuliomba mhe. Rais aunde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.