Inakuwaje taarifa ya Mwaka 2013, zaidi ya miaka 10 iliyopita unaileta leo?….HUU NI UPOTOSHAJI WA KIWANGO CHA JUU…Hili tukio lilitokea mwaka 2013 wakati Mkwajuni ilikuwa wilaya ya Chunya na Wilaya ya Chunya haijagawanywa…Kwa sasa Mkwajuni ipo Wilaya ya Songwe Mkoa wa Songwe…
Pia kipindi tukio...
Hakuna Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania…
Kuna Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania - TEC (Askofu Mkuu Gervas J. M. Nyaisonga) ambaye husaidiwa na Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (Askofu Flavian Kasala Matindi)…..Na kuna Mtendaji wa TEC ambaye ni Katibu Mkuu wa TEC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.