Hakuna kitu cha bure hapa duniani kama wengi wanvyodhani,haya makampuni ya simu yapo katika kuchangisha pesa za kampeni za ccm,huo ndio ukweli ambao haupingiki,Jamani mtaliwa sana kwa kupenda Dezo!!! Badilikeni:becky:
Tukianza kutafuta uraia wa kila kiongozi wapo wengi tu itabidi waachia ngazi,hivyo ndivyo nchi yetu ilivyo,tatizo letu kila kitu tunakifanya kama vile tunaigiza hata pale ambapo matokeo ya jambo lenyewe ni madhara makubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.