Recent content by Azepha

  1. A

    Zain promotion: Ni kweli ama batili??

    Hakuna kitu cha bure hapa duniani kama wengi wanvyodhani,haya makampuni ya simu yapo katika kuchangisha pesa za kampeni za ccm,huo ndio ukweli ambao haupingiki,Jamani mtaliwa sana kwa kupenda Dezo!!! Badilikeni:becky:
  2. A

    Hatimaye wazee wadai Mustapha Mkullo si mtanzania

    Tukianza kutafuta uraia wa kila kiongozi wapo wengi tu itabidi waachia ngazi,hivyo ndivyo nchi yetu ilivyo,tatizo letu kila kitu tunakifanya kama vile tunaigiza hata pale ambapo matokeo ya jambo lenyewe ni madhara makubwa.
  3. A

    Unakubaliana na tahariri ya gazeti hili?

    We unashangaa hilo? bado yapo mengi utasikia na kuyaona,hayo ni mambo ya . Lakini inafaa kumkemea huyo mhariri.:mad2:
Back
Top Bottom