kuna kitu nyuma ya pazia juu ya hii redio lazima kuna mtu anawapa kiburi muda mwingi huwa ni wachochezi wa mambo, no wonder walipelekewa keki ya bethdei ya mheshimiwa
hivi we unachokiongea ni kipi kisichowezekana kupeleka madawa india ni kipi?, then umeshaambiwa ni mchezo mchafu ulitaka kufanyika may be walitaka kumkamatia airport
kuhusu maofisa kulipwa we hiyo haikuhusu alijuaje we jua amefahamu n dats it
awataje mara ngapi wliohusika?
acha kudandia tren kwa...
acha hizo wewe kama ushindi upo upo tu, hata mechi ingechezwa cku isiyo na jina usituharibie wachezaji wetu kisaikolojia acha vijana wafanye kazi huko ndio kutafuta sababu na kuwatia uvivu, mwanamichezo bora hana hizo, goooo poulsen boys n make us shine like stars as ur the stars of the nation
wengi wetu hatujui nini tunataka kufanya na ni vipi tutafanya kwahiyo tunashindwa kuweka mipango na tukiiweka haitekelezeki coz hatujui tunakoelekea.kinachotuharibu zaidi ni kupenda short cuts hamna anayependa kufuata utaratibu mwisho wa siku tunajikuta tunatumika tu, umasikini wetu utakoma...
we are we exactly going and wat a we doing??, takukuru ndio wa wanza kuomba ushirikiano na wananchi, wanapoonyeshwa ushirikiano huo hawautilii maanani 2waeleweje?.ila kama ipo ipo tu ipo siku kitaelewaka tu
acha kutuchanganya wewe mambo ya FBI yanatuhusu nini sisi??, hata km takukuru ingekuwa ya kwanza kimataifa km haiwezi kututhibitishia sisi hilo ni upuuzi mtupu, km wanapewa vithibitisho vyote vya harufu ya rushwa then hawachukui hatua c tuwaeleweje?, afu unakuja na story za FBI hapa we vipi
frankly speaking these people are problematic, tatizo wana introduce systems mpya bila kuwapa training watu wao, wanaofanya kazi wengine wanaenda training mabos wat du u expect? eti pamoja tulijenge taifa letu kwa mtindo huu kweli???. humu ndani najua kuna wadau wa TRA wafikishieni taarifa plsss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.