Recent content by Armando

  1. A

    Lusinde amvaa Amunike kweupe

    Academy mbona zipo nyingi tu.Je zinatiliwa maanani?Walimu wenye vigezo vya kitaalamu wapo.Je wanapata sapoti?Tff inatakiwa kusapoti na siyo kumiliki Academy.
  2. A

    Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

    Kamaliza Chief Humbi Ziota(Igunga) Wote wametangulia mbele ya haki(Marehemu)
  3. A

    Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

    Said Maswanya(Urambp-Tabora) Mzee Misigalo(Tabora mjini) Wote Wametangulia mbele ya haki(Marehemu)
  4. A

    Jack Pemba avujisha video yake ya ngono

    Nirushie na mimi
  5. A

    Chumba na sebule kinahitajika

    Pia Boko beach,Ununio.Mbweni au maeneo ya Basihaya 2rooms selfcontain bajet 2kilo.Ni PM tafadhali.Kuhamia wakati wowote kabla ya aprli
  6. A

    Namshukuru kila aliyewezesha kutimuliwa kwa Mkwassa Stars

    Wadau naona tunatafuta mchawi bure... Narudia je maandalizi kuanzia chini kwa kiwango cha kimataifa tunacho?Program za watoto zipo?na kama zipo chache vyombo husika vinawajibika?japo kuvitembelea? Huko tunako angalia luninga na kushabikia timu za nje,kila mchezaji ana historia kuanzia chini,iwe...
  7. A

    Namshukuru kila aliyewezesha kutimuliwa kwa Mkwassa Stars

    Siri kubwa ya mafanikio ya soka.Ni kuwa na program nzuri kuanzia ngazi ya chini{watoto}.Zipo hizi program ila hazina support kubwa.
  8. A

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    ok,thank you.
  9. A

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    Risiti ya TRA nikinunua nitapata?
  10. A

    Wenje ashinda kesi ya pingamizi lililowekwa na Mabula, kesi ya msingi kuendelea Jumatatu!

    Ukijilinganisha n Marekani tupo awamu ya SITA tunatofauti ya mwaka mmoja wa awamu.TZ(5)USA(4)
  11. A

    Natafuta nyumba ya kupanga: Boko, Mbweni, Moga shuleni au Bunju A

    Wanabodi,heshima kwenu. Nahitaji nyumba ya kupanga 2 bedrooms, self contained. Iwe na uzio/ gate, isiwe ghorofa ila ikiwa duplex ni sawa tu. Range 150,000/- hadi 200,000/- Tafadhali toa namba na sehemu iliyopo au ni PM. Maeneo:Boko, Mbweni, Moga Shuleni area au Bunju A
  12. A

    Mabadiliko ya ada shule za binafsi: Hatimaye kilio cha walimu wa binafsi kusikika

    Suala la lugha ya kiingereza,miaka ya 90 kurudi nyuma,serikali katika shule zake nyingi zilikuwa atleast na walimu wawili wageni wanaofundisha somo la kingereza katika shule za skondari. Utaratibu huu ni mzuri,
  13. A

    Agizo la Wizara ya Elimu kuhusu Ada ni punishment kwa wazazi?

    Shule za serikali zikiboreshwa kama awali,miaka ya baada ya uhuru ni kila mtanzania atapata elimu bora. Elimu n jukumu la serikalina nina imn litatekelezeka. Suala la Elimu sio biashara
  14. A

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Nahitaji Flat Tv inchi 20 kwa ajili ya saloon,nipo Dar,bajeti yangu laki moja,wakuu
  15. A

    Lowassa ni zaidi ya Rais, Vivuko vyote kutoa huduma bure

    hapa umepotoka kidogo/usa vivuko kama hivi vipo vya bure pia
Back
Top Bottom