Komaa na huyo uliyemposa tayari. Ukihairisha utamuharibu kisaikolojia na karma haitokuacha salama.
Mpaka unafikia uamuzi wa kumchumbia na kutaka kumuoa, means kasoro zake zote ulizijua na ukaamua utaishi nazo. Mapenzi yanauma kisenge, usifanye uamuzi utakaoujutia mbekeni. So think twice broh.
Kiuhalisia, Simba hawajui tatizo liko wapi, ni kama wanabahatisha. Hela wanazo, hivyo shida sio uchumi. Kila msimu wanaibua nadharia tofauti.
Mara waseme shida ni Matola, jamaa akaenda zake kusoma ila bado tabu ikaendelea kuwepo. Wakamsema ni Mgunda, nae akaondoka, wakamsema ni kocha, nao...
Hakuna kosa. Ila nadhani hatuelewani au umeamua kutonielewa.
Ninachosema Mimi, hao ni watu wawili tofauti. Haijalishi yule kuuza dafu Ile ni cover au uhalisia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.