vinapatikana chanika zingiziwa, ukubwawake 20/20, bei 1.3million, piga 0788470662/0672265290 kwa maelewano na jinsi ya kuviona, pia kuna kiwanja cha 2.5milion ukubwa ni 20/20
Shamba lenye nyumba ndani linauzwa,shamba unaloweza kukata viwanja pia linauzwa ukubwa wake ni heka 1,pia kuna viwanja 20/20_@2.5mil, vyote vipo Chanika.
Mawasiliano piga simu_;-255788470662/672265290, nikukutanishe na mhusika au tembelea blog yangu katika http://www.peperonity.com kisha...
ume_post kitu chenye mantiki ila inaonekana ulikuwa unaandika huku unahasira, peace of mind ndo kitu tunachohitaji, jichunguze inawezekana ukawa unaubinafsi kwa kiasi flani kwahuyo mtu wako!
Sifa; awe mrefu 150cm-160cm, asitumie kilevi,awe mkristu mkatoliki,maji ya kunde/mng'avu, mwenye umbo na sura yakuvutia plus tabia njema, umri wake 17-21, mimi mweusi, 24yrz , bado naendelea namasomo! ni PM kwa unaye hitaji kuzungumza namimi.
Asanteni
Inasemekana kuwa waliohitimu Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wanatakiwa kurudi kwenye vikosi vyao vya awali. Hapa inakuaje wadau ni sisi tu wakujitolea au inajumuisha na hawa wadogo kwa mujibu walioomba kubaki.
viongozi wasio na stara bungeni,mitaani na hata ktk mitandao wanataka kutuletea katiba ya namna gani?, bila shaka yenye maslahi ya wachache tu hasa wenye nyadhfa, rais hatashitakiwa kwa makosa ya jinai kamavile kulawiti!!!, huu si niupumbavu!!!!
Nafasi zinazotangazwa ni nyingi ukilinganisha na wasomi walio mtaani, lakini bado hawapati nafasi hizi hii inamanisha wanaoajiliwa wengi ni watu wasio na taaluma hizo, maana ya kuwa na vyuo vikuu iko wapi sasa??
Uwe majiyakunde/mweupe, kabila lolote,mkristo, umri 18-23, mkoa wowote ule,mwenye umbo lakupendeza, mimi niko Dar es salaam Kinondoni,ni mweusi 168.60 cm tall.
Ni pm nitakupatia mawasiliano yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.