Wabongo ni wachoyo sana kukupa siri ya hatua zote za mafanikio. Tangu uzi uanze aliyetoa jibu sahihi kwa mujibu wa swali langu ni mmoja tu, aliyesema nijaribu appen na oneforma. Waliobaki wote wanazunguka tu.
Ni mzunguko sana kuwithdraw pesa kutoka paypal, naonaga watu wanatumia complications kibao ambazo kila nikijaribu kutulia sizielewi.
Wenzangu na miye wa tab kiddies (tunaojua vitu kupitia google), tusubirini njia rasmi, japo itakuwa mwaka 2090
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.