kwa uwelewa wangu mimi, katika kesi ya jinai anayeshtaki ni jamhuri na aliyetendewa kosa husika ni shahidi , kimsingi kesi ya jinai inapokuwa imefika mahakamani aliyetendewa kosa hana mamlaka tena ya kusema eti wasuluhishane nje ya mahakama. kuhusu kufuta kesi, Mahakama ndiyo yenye uwezo wa...
Sheria ya ndoa ya mwaka 1974 kama ilivofanyiwa marekebisho mwaka 2002 iko wazi katika hilo na kwa kifupi angalia kifungu cha 69-71, kama inavosomeka hapo chini:-
69. Right to damages for breach of promise of marriage
(1) A suit may be brought for damages for the breach of a promise of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.