Nawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.
Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui...
Siku hizi ni kawaida kumkuta mwanaume amevaa cheni shingoni au hereni masikioni. Tena utamkuta mwanaume mwenye akili zilizotimia (achilia mbali mateja) amevaa hereni na cheni kubwa huku akijiona...
Shkamooni wakuu over 24+ Inakuwaje wakuu under <23.
Nauliza ni mafuta gani mazuri (skin care routine) ambayo nikitumia sitowahi kubadili?
Name & Price (bei za kawaida) na ni wapi naweza...
Habari 🖐 🖐 🖐
Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.
Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani...
Salaam!
Wanaume tuwe makini kwani kizuri kikizidi huwa kibaya.
Ushawahi kusikia finite na infinite, chenye mwanzo na mwisho relatively.....
Basi tunao penda kuvaa vizuri na kupendeza tuwe na...
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.
Nawaza kutumia...
Wasalam..
kama head inavo jieleza maalum kwa perfume ,fragrance,body sprays na manukato aina zote kwa kuanza kabisa naweka hizi chache kama kuna zingine sizijui tujuzane
#victorious silver (men)...
Leo nahmn nmeikumbuka zamani,
Nimeyakumbuka maisha ya zamani,
Japo naonekana mshamba mbele ya kadamnasi ila nmeitamani zamani.
Nimetamani kuyaishi maisha yale
Zamani akina mama walivaa nguo ya...
Kuna mitindo mbalimbali ya unyoaji wa nywele za kichwani. Kuna panki, kipara, mtindo wa nywele saizi ya brashi, kuna mtindo wa nywele za kuota (low cut) nk
Tuambie wewe huwa unanyoa mtindo gani...
Salaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua...
Nasikitika sana kuona hakuna udhibiti wa bidhaa feki hasa kwenye bidhaa za mwilini, bidhaa halisi na bora zinapotezea sokoni badala yake bidhaa feki zimetawala soko la nchi.
Miaka nenda rudi haya...
Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia
Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na...
Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.
Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi...
Ufugaji wa ndevu ninaamini tuliuanza miaka kadhaa.
Kabla yetu walifuga wazee wetu. Nimeamua kukata na kuwa na kidecu na mdogo kama uch.i wa mbuzi. Kunyoa ndevu zote kunafanya unakuwa sura kama ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.