Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Wandugu naombeni msaada wenu kuna ndugu yangu alifunguliwa mastaka yakurusha pesa kesi ikaenda mahakamani tumepigwa tarehe kama mara tatu yane tukaambiwa uko huru hakuna kesi hapo leo hii huyo...
wanabodi heshima mbele.
Naomba msaada wa mawazo katika tatizo langu la kiwanja.
Mimi nafanya kazi mkoani ila nina kiwanja mjini dsm. baada ya kupata uhamisho wa kikazi niliamua kununua kiwanja...
Habari zenu waungwana,
Ningali niko nje ya nchi ila ningalipenda kujua kiendeleacho juu ya mauaji ya wamasai walio na ardhi kisha wakafilisiwa na TBL kisha TBL wakasimama kama wamiliki wa ardhi...
Wakuu,
Ndani ya JF tunanufaika na elimu nyingi ili kutuweka sawa Watanzania na kuishi kwa kujiamini pasi na kuvunja sheria,imekuwa ni jambo la kawaida ndani ya nchi yetu wananchi kunyanyasika sana...
Naomba kujua kuwa sheria inanisaidia vipi kama mtumishi wa serikali, mimi ni mtumishi katika halmashauri mojawapo ila matatizo niliyo kutana nayo huku ni kuwa watumishi wengi wanalalamika kuhusu...
nilimwekea mdhamana mdogo wangu mtoto wa mama mdogo aliyekuwa anakabibiliwa na kesi ya madai ya kampuni ya airtel aliyoisababishia hasara ya tsh laki nane baada yapo jamaa katoloka na nimeambiwa...
Tumo katika nchi inayofuata sheria. nchi yoyote ile lazima iongozwe kwa kufuata sheria. TCRA ni chombo kinacho simamia vyombo vya habari vya kielektroniki hasa redio na televisheni. kina mamlaka...
Leo nimetoa pesa NMB ATM mashine imehesabu lakini haikutoa pesa na risiti imeonesha pesa zimetoka nimeenda kwa customer care wao akaniambia watanirudishia lakuni hadi leo haijsrudi hiyo pesa...
Naomba msaada wakuu
Tulikoroshana na my wife 2008 mwaka mmoja tu baada ya kufunga ndoa ya kikatoliki. Akarudi kwao na kubeba baadhi ya vitu vyake. Tukaendelea na mawasiliano huku tukijaribu ku...
Kuna kampuni nyingi za simu hapa Tanzania lakini kuna mambo yanawafanyia wateja wao sio fare kabisa,mfano baadhi ya makampuni yana huduma ya internet kwa malipo ya kabla ya kununua kifurushi kwa...
Jana ilitokea nikawa naangalia kipindi cha 'take one' cha Zamaradi. Kuna binti ambay kwa umri anaonekana yuko chini ya miaka kumi na minane. Binti huyo anasema alikuja Dar Es Salaam kwa ajili ya...
Nime ishina mwana mke kwa muda wa miezi kuminambili bahati nzuri mwanamke kanikuta nime nunua kiwanja na nika anza kujenga nyumba mpaka kwenye renta na baadaye tuka malizia wote ndani ya mwaka 1...
WIZARA YA ARIDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI INAJITAHIDI KUFANYA KAZI ZA VIGOGO TU , WATU WAKAWAIDA NI KERO WAKATI MWINGINE UNAWEZA KUSEMA INAFANYA KAZI KWA UBAGUZI , TAARIFA ZOTE WANAZOZITOA HAKUNA...
(Kutoka gazeti la mwananchi)
MWANAZUONI aliyebobea katika sheria, Profesa Issa Shivji na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Francis Stolla wamekosoa hukumu ya Mahakama ya Rufani...
Ndugu wana Bodi heshima kwenu.
Jamani katika kutafuta nyumba za kupanga tuwe makini sana haza maeneo haya ya Sinza, Mwenge, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni etc.
Binafsi na familia yangu...
Wakuu nina issue iko mahakamani, siyo ya madai. Natafuta mwanajf ambaye yupo tayari kunishauri kupitia pm au wazi (maana siyo siri). Nipo tayari kumlipa gharama za ushauri sh.20,000 kwa njia...
Heshima zenu wakuu,,
Jamani naomba msaada wa hili swala, kuna jirani yetu hapa kwa bi mkubwa amejenga nyumba so kuna sehemu ya nyuma amejenga fensi kiasi cha kwamba maji yote yanakuja upande wa...
matukio ya hivi karibuni ya mauaji yanayohusishwa na udini,vurugu na mauaji ya watu wasio na hatia kama ya mwangosi,mauaji ya huko morogoro,singida na sasa vurugu za mtwara na matukio mengi ya...
Salma Said,
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mwanakwerekwe imeombwa kuifuta kesi inayowakabili viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kutokana na kuchukua muda mrefu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.