Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wandugu naombeni msaada wenu kuna ndugu yangu alifunguliwa mastaka yakurusha pesa kesi ikaenda mahakamani tumepigwa tarehe kama mara tatu yane tukaambiwa uko huru hakuna kesi hapo leo hii huyo...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
wanabodi heshima mbele. Naomba msaada wa mawazo katika tatizo langu la kiwanja. Mimi nafanya kazi mkoani ila nina kiwanja mjini dsm. baada ya kupata uhamisho wa kikazi niliamua kununua kiwanja...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari zenu waungwana, Ningali niko nje ya nchi ila ningalipenda kujua kiendeleacho juu ya mauaji ya wamasai walio na ardhi kisha wakafilisiwa na TBL kisha TBL wakasimama kama wamiliki wa ardhi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, Ndani ya JF tunanufaika na elimu nyingi ili kutuweka sawa Watanzania na kuishi kwa kujiamini pasi na kuvunja sheria,imekuwa ni jambo la kawaida ndani ya nchi yetu wananchi kunyanyasika sana...
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Naomba kujua kuwa sheria inanisaidia vipi kama mtumishi wa serikali, mimi ni mtumishi katika halmashauri mojawapo ila matatizo niliyo kutana nayo huku ni kuwa watumishi wengi wanalalamika kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
nilimwekea mdhamana mdogo wangu mtoto wa mama mdogo aliyekuwa anakabibiliwa na kesi ya madai ya kampuni ya airtel aliyoisababishia hasara ya tsh laki nane baada yapo jamaa katoloka na nimeambiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tumo katika nchi inayofuata sheria. nchi yoyote ile lazima iongozwe kwa kufuata sheria. TCRA ni chombo kinacho simamia vyombo vya habari vya kielektroniki hasa redio na televisheni. kina mamlaka...
2 Reactions
86 Replies
8K Views
Leo nimetoa pesa NMB ATM mashine imehesabu lakini haikutoa pesa na risiti imeonesha pesa zimetoka nimeenda kwa customer care wao akaniambia watanirudishia lakuni hadi leo haijsrudi hiyo pesa...
0 Reactions
2 Replies
870 Views
Naomba msaada wakuu Tulikoroshana na my wife 2008 mwaka mmoja tu baada ya kufunga ndoa ya kikatoliki. Akarudi kwao na kubeba baadhi ya vitu vyake. Tukaendelea na mawasiliano huku tukijaribu ku...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kuna kampuni nyingi za simu hapa Tanzania lakini kuna mambo yanawafanyia wateja wao sio fare kabisa,mfano baadhi ya makampuni yana huduma ya internet kwa malipo ya kabla ya kununua kifurushi kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana ilitokea nikawa naangalia kipindi cha 'take one' cha Zamaradi. Kuna binti ambay kwa umri anaonekana yuko chini ya miaka kumi na minane. Binti huyo anasema alikuja Dar Es Salaam kwa ajili ya...
6 Reactions
29 Replies
9K Views
Nime ishina mwana mke kwa muda wa miezi kuminambili bahati nzuri mwanamke kanikuta nime nunua kiwanja na nika anza kujenga nyumba mpaka kwenye renta na baadaye tuka malizia wote ndani ya mwaka 1...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WIZARA YA ARIDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI INAJITAHIDI KUFANYA KAZI ZA VIGOGO TU , WATU WAKAWAIDA NI KERO WAKATI MWINGINE UNAWEZA KUSEMA INAFANYA KAZI KWA UBAGUZI , TAARIFA ZOTE WANAZOZITOA HAKUNA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
(Kutoka gazeti la mwananchi) MWANAZUONI aliyebobea katika sheria, Profesa Issa Shivji na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Francis Stolla wamekosoa hukumu ya Mahakama ya Rufani...
8 Reactions
226 Replies
16K Views
Je, kuna sheria gani ambyo itatumika pindi mvulana akimpa mimba msichana ambaye alikuwa akisubiri matokeo lakini akafeli?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana Bodi heshima kwenu. Jamani katika kutafuta nyumba za kupanga tuwe makini sana haza maeneo haya ya Sinza, Mwenge, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni etc. Binafsi na familia yangu...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu nina issue iko mahakamani, siyo ya madai. Natafuta mwanajf ambaye yupo tayari kunishauri kupitia pm au wazi (maana siyo siri). Nipo tayari kumlipa gharama za ushauri sh.20,000 kwa njia...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Heshima zenu wakuu,, Jamani naomba msaada wa hili swala, kuna jirani yetu hapa kwa bi mkubwa amejenga nyumba so kuna sehemu ya nyuma amejenga fensi kiasi cha kwamba maji yote yanakuja upande wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
matukio ya hivi karibuni ya mauaji yanayohusishwa na udini,vurugu na mauaji ya watu wasio na hatia kama ya mwangosi,mauaji ya huko morogoro,singida na sasa vurugu za mtwara na matukio mengi ya...
0 Reactions
3 Replies
889 Views
Salma Said, MAHAKAMA ya Wilaya ya Mwanakwerekwe imeombwa kuifuta kesi inayowakabili viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kutokana na kuchukua muda mrefu kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom