Njegere Ni chakula cha kawaida kabisa kwa watanzania wengi. njegere hizi hutumika kwa milo tofauti ya siku ukipenda
Njegere zina namna tofauti pia hata katika mapishi yake na hii ni moja ya namna...
Leo tuzungumzie kuhusu vinywaji vya asili, yaani vinywaji vilivyotokana na mimea na wanyama, mfano miwa, madafu, matunda mbalimbali na maziwa pia.
Inashauriwa kunywa maji kwa wingi si chini ya...
Jinsi ya kupika keki ya ndizi na chocolate chips
Jaribu mapishi yafuatayo na ufurahie na familia na marafiki wako
Keki ya Ndizi ikiwa na vipande vidogo vya chokoleti (chocolate chip)
Viungo...
Ukimarinate nyama au samaki kwa viungo( vitunguu saum, tangawizi, masala) ongeza mafuta kidogo na mtindi vijiko viwili inalainika na kunoga
Ukikosa vanila unaweza saga Ganda la limao bichi...
Kwa wapenzi wa nyama ya nguruwe, ktk kutafuta kitimoto kwa muda mrefu sasa nimegundua kuwa sehemu nyingi ambapo nguruwe anapikwa ni pachafu mazingira yake hayalidhishi.
Hii ni kwa nn?
Au kuna...
Habari ya leo wadau wa jinsi ya kupika.
Karibuni tena jikoni tuandaeandae vitu vizuri, leo ni mchuzi wa kima au mchuzi wa nyama ya kusaga. Ni kitoeleo kizuri cha wali, mkate, chapati na hata...
Jinsi ya kutengeneza Kalimati ya maharage:
Maharage yanatumika katika mapishi aina nyingi sana, Leo tutapika kalimati kwa kutumia maharage!. Kaimati hii ni nzuri sana kwani ina maharage yenye...
Baking powder na baking soda zote vinatumika kwa kazi moja ya kuumushia au kuchachua chakula kama mkate, cake, biskuti na baadhi ya vyakula lakini vina tofautiana kikemikali. Baking soda kwa jina...
Habari zenu Chefs
Nahitaji msaada wa Maelezo mazuri kabisaaa juu ya namna bora ya Kutengeneza Mtindi Fresh wenye mbwembwe na Madikodiko kibao yaan ue bora zaidi ya Mtindi wa Tanga Fresh au Youghut...
Husika na mada tajwa hapo juu nimeamua kuanzisha biashara ya popcorn baada ya kuona mahali nilipo hakuna mtu anayejishughurisha na biashara hiyo
Shida yangu kubwa kupata ujuzi jinsi ya...
unga lishe ni unga kwaajili ya chakula ulio na mchanganyiko wa viini lishe vyote muhimu. mara nyingi unga huu hutumiwa kuandalia uji .wakati mwingine utengenezaji wa unga huu huzingatia walengwa...
Ukitaka samaki awe na ladha nzuri basi fuata maelekezo.
baada ya kumsafisha na kumtengeza samaki wako.
chukua viungo vifuatavyo:
1.Kitunguu swaum
2.pilipili Manga
3.Binzari Nyembamba
menya...
Mahitaji
1.Viazi mbatata kilo 1
2. Mabamia fungu 1 kubwa
3. Mabiringanya makubwa 2
4. Karoti
5. Mafuta ya kupikia
6. Nyanya
7.Vituungu maji 2
8. Swaumu
9. Ndimu
10. Chumvi
Jinsi ya kupika
1...
Habari za jioni fellow chefs. Naomba tutumie thread hii kujuzana ingredients zinazotutatiza. Kama una picha sio mbaya kuambatanisha katika ufafanuzi. Mfano kuna vyakula ambavyo hujui Kiswahili...
Mishkaki Ya Nyama
Mahitaji:
Nyama steki...............4 Ratili (2 Kilo)
Mafuta........................3 Vijiko vya supu
Masala ya Kurowekea Nyama:
Kitunguu saumu/thomu na tangawizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.