Hatimaye, mwana Mfalme Harry wa Ungereza na mke wake Meghan Markle, wanapanga kurejea Uingereza baada ya kuishi miaka sita nchini Marekani.
Kulingana na vyombo vya habari vya Uingereza, wawili...
Mshindi wa nafasi ya U-Raisi anapata kura asili mia 98, toka kwa waTanzania milioni 31 waliojitokeza kupiga kura. Sijui hiyo asili mia mbili ilipotelea wapi. Inawezekana ni kura zilizoharibika...
Harakati za Tanganyika kujitenga na Zanzibar zinasukumwa na malalamiko ya kisiasa na kiuchumi kuhusu muundo wa sasa wa Muungano wa serikali mbili.
Wanaounga mkono vuguvugu hili wanahoji kuwa...
Mods naomba uzi huu usiungwe kule
Pichani ni Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ambaye ndie baba yake na Makamu rais mteule Deogratius John Ndejembi.
Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ni moja ya makada...
Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata Rais mwanamke tangu nchi ipate uhuru.
Katika hali ya kawaida kabisa ungetarajia wanawakewote wasomi na wajinga wangemuunga mkono mwanamke mwenzao kwa kuwa...
Maisha ni safari ndefu na changamoto nyingi..!Hofu nyingi na kukata tamaa kwingi..!
Na ni jambo la kawaida kibinadamu kukumbana na nyakati ambapo imani ya maneno haitoshelezi kukabiliana na hofu...
Hawa wanawake wa mjini wanaozungumza wakitamka maneno kwa madoido kama wanameza ulimi ni vituko haswa.
Mtu anakaribisha kwenye biashara anasema karrlibu "chakurrla" badala ya "karibu chakula''...
Meli inayodaiwa kuwa ya kubeba mafuta imewaka moto katika Bandari ya Kigoma, iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa za awali, moto huo umezuka usiku huu wa Agosti...
Hii gari imeonekana ikiwa imepaki pembezoni mwa uwanja wa hapa mtaani kwetu toka Jumanne ya wiki iliyo pita, mwenye gari hii alikuwa mdada.
Huyu dada ilikuwa Kila siku saa mbili asubuhi anakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.