Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwakumbuka akiwa anahojiwa alivyojibu kwa dhereu na kiburi. Mwenyewe anacho kilifikiri kinanguvu. Hehehee! Walahi tutaona mengi. Wewe mzee miyeyusho sana. Humwoni Emma the boy alivyowekewa...
4 Reactions
19 Replies
300 Views
Heri ya mwaka mpya kwangu. ❤️ Huu ni mwaka mwingine kwenye maisha yangu 🤗 Katika mwaka huu mpya, nazika ya kale yasiyo na manufaa Nikibeba tu mafunzo yaliyonijenga Sitaki tena kubeba maumivu...
26 Reactions
168 Replies
672 Views
Famahamuni haya fika. Mfumo wetu wa Uraisi ulioanza mwaka 1995 wa mgombea mwenza tumeuiga kutokea nchi ya Marekani, ambapo Raisi na Makamu wake wanateuliwa kwa pamoja, na wanaanza kazi siku...
102 Reactions
213 Replies
4K Views
Kama sheria zetu zingefanya kazi kesi ingetupiliwa mbali pale tu mahakama ilivyokataa ushahidi wa ile video Kungekuwa hakuna tena kesi ya kujibu kwasababu kielelezo kikuu cha mashitaka...
3 Reactions
10 Replies
77 Views
Mtakuwa wajinga na takataka mpaka lini? Ni lini mmewahi kuona CCM wako busy na mambo ya CHADEMA au chama cha upinzani? Nyie wapinzani mko kama fisi anayemnyemelea mtu anayetembea gizani akirusha...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Ninaposema Usalama wa Taifa,Jeshi na Polisi hapa namaanisha nyinyi wakubwa viongozi wa Vyombo hivi,mnatukosea sana sisi Watanzania wenzenu. Hata hivyo bila kusahau hata ma junior wa Vyombo hivi...
5 Reactions
26 Replies
252 Views
Zoezi la maswali ya dodoso kutoka kwa Jamhuri kwenda kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, litaendelea asubuhi hii Agosti 28, 2026 huku likitarajiwa...
17 Reactions
217 Replies
6K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
678K Replies
43M Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Mary Pius Chatanda, ameipongeza Halmashauri Kuu ya CCM kwa uamuzi wa kumfukuza Balozi Emmanuel Nchimbi kutoka katika Chama...
0 Reactions
2 Replies
22 Views
Nyie kama mnatafuta tafuteni tu, ila hata kwenye maisha kibongo bongo ili kufanikiwa lazima ,utumie kanuni ya break pumbu🤔 Fanya fanya uwezavyo ,ila fanya ulazimishe ipite na break ziwe...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,449
Posts
56,042,900
Back
Top Bottom