Kama wewe kweli ni mzalendo utaendelea vipi kuwa ndani ya Chama ambacho Makamu Wa Rais wa nchi anafukuzwa kwasababu ya kusema watanzania wapiganie katiba mpya.
Tujiulize kwanini hao waliobaki...
Mimi ni Mkazi wa Pugu,Ninapokuwa njiani kuelekea kazini/Mjini nilikuwa nikishuhudia kuvunjwa kwa sehemu ya uzio wa shule na ujenzi wa frame za maduka....
Hiyo shule ni ya elimu ya Msingi Pugu...
Ni muhimu tukajulishwa Nchimbi yuko wapi ? Kutokana na sasa hivi watu kutekwa na kupotea kwenye mazingira ya kutatanisha pale wanapokua wamegusa maslahi ya watu wa Chache ndni ya CCM...
Bi. Khadijah binti Nyambasi kutoka mkoa wa Pwani, akielezea namna mchezo wa bao unavyotumika kufanya maridhiano toka enzi za mababu. Katika mazungumzo yake aliyoyafanya kwenye Tamasha la nne la...
Itakumbukwa waziwazi kuwa Mwigulu na Makonda Walikuwa wakimfitini Nchimbi.
Halikadhalika Makonda hampendi Mwigulu na anatamani naye aanguke puuuhhh.
Wasichokijua ni kuwa aliyeletwa yaani Ndejembi...
Mlifurahia Mheshimiwa kujihuzuru sahzi mnaumia kumpata Mh. Makamu mpya sasa mnafikir mambo yatasimama? Hivi mnaakili kweli nyie nyumbu
Ndo maana mnaitwa MANYUMBU.
Alituasa Nyerere:
“Ukishakula nyama ya mtu, hutaacha kuila”
Huyu Samuya huyu, bila shaka mwanae kamroga; hana soni wala haya usoni kwake. Baada ya wiki 2 tutaanza kuimba, BRING BACK NCHIMBI.
Nchimbi hana cha kupoteza tena wala fursa yoyote ndani ya CCM au serikali.
Kilichobaki ni kwenda CHADEMA tu na anapaswa kupokelewa na ikiwezekana hata apewe fursa ya kugombea Urais ikiwa Lissu...
Tarehe 10 Februari 2025
Raila Odinga na Jaji Mstaafu Joseph Warioba walitoa ushauri mzito kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, lakini aliuacha hewani kwa msimamo wake mkali. Tarehehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.