Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hatimaye, mwana Mfalme Harry wa Ungereza na mke wake Meghan Markle, wanapanga kurejea Uingereza baada ya kuishi miaka sita nchini Marekani. Kulingana na vyombo vya habari vya Uingereza, wawili...
2 Reactions
14 Replies
276 Views
Mshindi wa nafasi ya U-Raisi anapata kura asili mia 98, toka kwa waTanzania milioni 31 waliojitokeza kupiga kura. Sijui hiyo asili mia mbili ilipotelea wapi. Inawezekana ni kura zilizoharibika...
1 Reactions
3 Replies
17 Views
Harakati za Tanganyika kujitenga na Zanzibar zinasukumwa na malalamiko ya kisiasa na kiuchumi kuhusu muundo wa sasa wa Muungano wa serikali mbili. Wanaounga mkono vuguvugu hili wanahoji kuwa...
22 Reactions
72 Replies
1K Views
Mods naomba uzi huu usiungwe kule Pichani ni Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ambaye ndie baba yake na Makamu rais mteule Deogratius John Ndejembi. Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ni moja ya makada...
12 Reactions
58 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata Rais mwanamke tangu nchi ipate uhuru. Katika hali ya kawaida kabisa ungetarajia wanawakewote wasomi na wajinga wangemuunga mkono mwanamke mwenzao kwa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Maisha ni safari ndefu na changamoto nyingi..!Hofu nyingi na kukata tamaa kwingi..! Na ni jambo la kawaida kibinadamu kukumbana na nyakati ambapo imani ya maneno haitoshelezi kukabiliana na hofu...
10 Reactions
20 Replies
110 Views
Hawa wanawake wa mjini wanaozungumza wakitamka maneno kwa madoido kama wanameza ulimi ni vituko haswa. Mtu anakaribisha kwenye biashara anasema karrlibu "chakurrla" badala ya "karibu chakula''...
8 Reactions
33 Replies
236 Views
Meli inayodaiwa kuwa ya kubeba mafuta imewaka moto katika Bandari ya Kigoma, iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Kwa mujibu wa taarifa za awali, moto huo umezuka usiku huu wa Agosti...
2 Reactions
6 Replies
93 Views
Mashahidi wa Tundu Lissu wakipigwa msasa.
12 Reactions
7 Replies
203 Views
Hii gari imeonekana ikiwa imepaki pembezoni mwa uwanja wa hapa mtaani kwetu toka Jumanne ya wiki iliyo pita, mwenye gari hii alikuwa mdada. Huyu dada ilikuwa Kila siku saa mbili asubuhi anakuja...
12 Reactions
34 Replies
567 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,534
Posts
56,045,057
Back
Top Bottom