Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Namtafuta Lucas Mwanshambwa, Tlaatlaah na machawa wengine ili nijue msimamo wao juu ya hiki kilichotokea. Naona wametulia ghafla, huenda aliyekuwa anawalipa zike buku saba Saba ndiye huyu...
21 Reactions
55 Replies
376 Views
  • Featured
Hatua ya maswali ya dodoso (Cross Examination) kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, yanatarajiwa kutamatishwa leo Agosti 27, 2026 na kufungua mlango kwa shahidi mwingine wa Lissu kupanda...
23 Reactions
259 Replies
6K Views
Israeli ni mojawapo ya nchi zinazojitegemea kijeshi zaidi katika Mashariki ya Kati. Lakini madai mawili maarufu yote ni ya uongo: "Israel haiwezi kupigana bila Amerika." "Israel haihitaji...
0 Reactions
7 Replies
88 Views
Ripoti ya kitaifa ya makadirio ya ukubwa wa makundi maalum ya mwaka 2025 (National Key Population Size Estimates), iliyoandaliwa kwa kutumia takwimu za makadirio ya idadi ya watu kutoka Ofisi ya...
12 Reactions
288 Replies
3K Views
Dunia ina vitu vingi sana vya ajabu na kuvutia. Usije ukashangaa siku 1 Katuga akatetewa mahakamani na Lissu kama wakili wake. Hakuna anaejua kesho yake, kuna mtu aliamini Othman Masoud atakuwa...
2 Reactions
11 Replies
56 Views
Duru zinasema hili sio jina lake halisi ni jina la kununua ili apate kusoma Akiwa Dodoma anaitwa John, akirudi Pemba anaitwa Ali hamis Makame kwann afiche majina yake? Ikumbukwe hayati Rais...
41 Reactions
129 Replies
3K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Ni kweli Emanuel Nchimbi amekuwa kwenye CCM kwa muda mrefu sana. Wengi tunamjua toka akiwa Umoja wa Vijana wa CCM na kwa kweli hakuwa mtu ambaye tulimfikiria hata kwa mbali...
84 Reactions
150 Replies
3K Views
“A cornered animal is the most dangerous.” Tangu Oktoba 29, 2025, Bi Kobe amekuwa akiishi katika hali ya mashaka na hofu kubwa. Chuki inayoongezeka miongoni mwa wananchi dhidi ya serikali yake...
11 Reactions
41 Replies
455 Views
Huwezi kuwa na siri nzito za matukio ya Oktoba mwaka ule, halafu waukuache tu unarandaranda mitaani.
15 Reactions
79 Replies
2K Views
Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed, amesema hakuna mwanachama anayepaswa kujiona mkubwa au maarufu kuliko Chama Cha Mapinduzi, akisisitiza kuwa kufikia hatua...
0 Reactions
19 Replies
125 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,125
Posts
56,035,787
Back
Top Bottom