Wa Tanzania 🇹🇿 hili swala la Nchimbi lililosimamisha nchi tafsiri yake imekaaje?
Kuna maswali najiuliza hapa Naomba ku share nanyi
Hawa wafuasi waliojitokeza kumsifia Nchimbi na kumuona shujaa...
"Mimi nataka Muungano wa Serikali 3, kwa sababu naweza kurudi kwenye Serikali ya CHADEMA na nikapewa nafasi kubwa ya uongozi kwenye hiyo Serikali, maana Lissu aliniahidi UWAZIRI MKUU kwenye...
Kwa sasa China ndio nchi pekee inaongoza kuwa na teknolojia kali ya simu . wana brands nyingi ambazo wanatoa simu kali hata kuliko hizi zilizo zoeleka Tanzania.
Na leo nitakutajia Aina 7 ya Simu...
Nini kifanyike sasa kama ndo hivyo?swali liliulizwa na kwa hekima kama bahari ilivyo ikawafanya watoke wakaamo humo katika uwepo wa machafuko yale,hekima haikai na uchafu na maana yake ndo hiyo...
Kutokana na Uhaba wa Vifurushi kwa sasq, vifurushi vizuri vinapatikana Tigo postpaid na Airtel Sme.
Namna ya kupata official hivi vifurshi, tembelea wakala wa mtandao husika wa karibu ukiwa na...
Naitwa David Frank Kameta, baada ya kupata wakati mgumu muda mrefu ikiwepo kusalitiwa na mtu ambaye nilimuamini, sasa naona ni bora Dunia ijue kinachoendelea. Hapa nazungumzia usaliti wa rafiki...
MSaada jamani mimi napataga wanaume wa binafsi tu .
MF. Hai Tate Mkuu huyu baba anahela sana tu ila kunipa aah yeye anipa zile kuku za wateja tu.
YAani mtu unampa muda wako upendo unamjali ila...
Nimefanya tafiti na kugundua mijimama mingi iliyovunja miji huwa inafungua biashara ya grocery .
Hapo ndipo huwa inawanasa vijana wadogo wadogo na hutumia juju kali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.