Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA. Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 . Blaza alipochomoka jamaa...
150 Reactions
436 Replies
32K Views
Ilianza siku 100 Ikafuata Tume ya Chande Zikapita purukushani za PM mikoani Hali ikawa tafrani waraka ukaja kutoka kila kona Waraka unaisha tarehe August 10 sisi tumekuja na tume Tume imepewa...
3 Reactions
10 Replies
235 Views
Tetesi nilizodaka toka kwenye vyombo vya usalama ni kwama Nchimbi hayupo Tanzania. Ametoweka kuogopa kutekwa Wanangu chimbeni na kufuatilia hili ili tuivue nguo CCM.
19 Reactions
82 Replies
3K Views
Hello petrol heads! Gen Z mnakimbiza sana magari. Mnahatarisha maisha yenu na maisha ya watumiaji wengine wa barabara. Hata sisi tulipokuwa vijana tulikuwa tunakimbia kiasi ila nyie mmezidi...
11 Reactions
41 Replies
299 Views
Kuna kipindi kwenye maisha unakaa kimya na kujiuliza, “Hivi kweli nilifikaje hapa nilipo?” Wengine wanaona tabasamu lako na kudhani kila kitu kiko sawa. Hawajui ni vita vingapi umepitia kimya...
14 Reactions
41 Replies
277 Views
“A cornered animal is the most dangerous.” Tangu Oktoba 29, 2025, Bi Kobe amekuwa akiishi katika hali ya mashaka na hofu kubwa. Chuki inayoongezeka miongoni mwa wananchi dhidi ya serikali yake...
25 Reactions
65 Replies
1K Views
Chief of Defence Forces Gen. Muhoozi Kainerugaba has announced the appointment of Gen. Katumba Wamala as Uganda’s envoy to the Middle East. “From today, I am appointing General Katumba Wamala as...
0 Reactions
1 Replies
10 Views
Nina shida ya Mbolea ya Kutosha , mwenye nayo tufanye biashara
0 Reactions
11 Replies
41 Views
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, ametangaza mpango wa kuanzisha mazungumzo ya kitaifa yenye lengo la kupunguza mvutano wa kisiasa nchini humo, ambao umeongezeka...
0 Reactions
1 Replies
41 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,531
Posts
56,044,999
Back
Top Bottom