Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi de Gunner nasema ya kuwa niko katika maandalizi ya kuja kuwa mtu maarufu zaidi kutokea katika taifa hili, nakujulikana dunia nzima by 2040.. Na naamini miaka ya hivi karibuni by 2030...
2 Reactions
18 Replies
68 Views
Hili ndio swali kabambe ambalo Chawa na Wachumia tumbo wa ccm na wengine wote wanapaswa kujiuliza. Kutekwa na kupotezwa kwa Nchimbi AMBAYe ameanzia UVCCM hadi kuwa Katibu Mkuu wa CCM huku...
15 Reactions
34 Replies
304 Views
Huyu mzungu anaetaka kuuza kisiwa hiki ni mmliki wa kisiwi? Je nani alihusika kuuza hicho kisiwa mali ya watanganyika ? Kwamba kuna watu wachache wanajimilikisha visiwa na kuviuza kwa wazungu...
0 Reactions
17 Replies
100 Views
Ni kheri wakuu.... Huwa sinaga tabia ya kushika simu ya mke wangu sasa juzi usku niliamua kuishika na kucheck check sms eeeeh nikakuta kuna sms 2 upande wa sent namba ikiwa imeseviwa X. Moja ya...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
https://youtu.be/j3sXSrK1IgY?si=ciaUzrI93iD8PAfG Kwa mujibu wa Evarist Chahali, mfanyakazi wa zamani wa TISS aliyeko uhamishoni Uingereza, kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Vice President Dr...
19 Reactions
87 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
Naitwa David Frank Kameta, baada ya kupata wakati mgumu muda mrefu ikiwepo kusalitiwa na mtu ambaye nilimuamini, sasa naona ni bora Dunia ijue kinachoendelea. Hapa nazungumzia usaliti wa rafiki...
50 Reactions
265 Replies
5K Views
Kama kweli wewe ni Mzalendo utabaki vipi kwenye chama kama wewe ni Mbara kwa mazingira haya. Sasa ni CCM gani wa sasa kafanya zaidi ya Dr Nchimbi leo kafukuzwa kwa kukataa kuwa rojorojo.
3 Reactions
15 Replies
113 Views
Kijana ambao tunaitafuta 40 na wale ambao wapo kuanzia 40 ..na tayari upo kwenye ndoa au unaishi na mwanamke kama familia na mna watoto jifunze kuelewa kwamba age kama hiyo kufanya divorce ni...
21 Reactions
108 Replies
1K Views
Kenya imeamua kui by pass Tanzania Kwa kuamua kununua mahindi takribani gunia Milioni 11 kutoka Zambia badala ya Tanzania huku ikoacha wakulima wa Tanzania wakihaha wasijue wapi watauzia mahindi...
6 Reactions
85 Replies
1K Views
Habari Nahitaji msaada seriously niliweza kua na biashara mahali na ilikua kiasi cha kuweza kuitegemea na kua na ndoto. kwa bahati mbaya wakati wa maandamano mwaka jana niliibiwa kila kitu. Hio...
3 Reactions
20 Replies
90 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,971
Posts
56,057,441
Back
Top Bottom