Uzi huu ni kwaajili ya kuwakumbuka wanasiasa wote ambao kwa namna fulani wameonja joto la Rais Samia kwa kuwekwa kando ya madaraka.
Naanza na Balozi Emmanuel Nchimbi, Spika Job Ndugai.
Endelea...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Tetesi nilizodaka toka kwenye vyombo vya usalama ni kwama Nchimbi hayupo Tanzania.
Ametoweka kuogopa kutekwa
Wanangu chimbeni na kufuatilia hili ili tuivue nguo CCM.
Kabla ya kuanza kampeni, Nchimbi alifika ghafla hapa nyumbani.
Nikatoka kutazama amefuata nini
Nikaona padre wa Kikristu alikuwa ameitwa hapa kumbariki Nchimbi.
Yule padre akafanya maombi...
Hakuna ukweli unao Uzi kama kusikia mzee kama Butiku tunae juzwa alikuwa House Boy Nyerere anasema heti CHADEMA inapata ufadhili kutoka kwa Mabeberu ili Hali ccm imejengewa ukumbi na chuo kikubwa...
Wana-CCM wengi wanapata wasiwasi la ongezeko la vijana wa upinde kwenye baraza la mawaziri na nafasi za juu za CCM katika kipindi cha awamu ya 6. CCM imekuwa kichaka cha mambo ya upinde na mambo...
Harakati za Tanganyika kujitenga na Zanzibar zinasukumwa na malalamiko ya kisiasa na kiuchumi kuhusu muundo wa sasa wa Muungano wa serikali mbili.
Wanaounga mkono vuguvugu hili wanahoji kuwa...
Mods naomba uzi huu usiungwe kule
Pichani ni Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ambaye ndie baba yake na Makamu rais mteule Deogratius John Ndejembi.
Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ni moja ya makada...
Itakumbukwa waziwazi kuwa Mwigulu na Makonda Walikuwa wakimfitini Nchimbi.
Halikadhalika Makonda hampendi Mwigulu na anatamani naye aanguke puuuhhh.
Wasichokijua ni kuwa aliyeletwa yaani Ndejembi...
Kwa kweli kuamua kuacha mikate na siagi na kuamua kutoka kwenye himaya ni kitendo kitakatifu sana.
Wote waliobaki nikiwaangalia wamebaki wapiga zumari na machawa ...
Unapopewa nafasi na kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.