Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, kuna tabia moja nimekuwa nikiiona humu ambayo inachekesha kidogo, lakini pia inanifanya nijiulize. Unafungua ID mpya, halafu ghafla watu wanakuangalia kama umetua leo kutoka sayari...
5 Reactions
7 Replies
16 Views
Msanii Ebitoke alie kuwa akitumia lafudhi ya kihaya, kuonekana akiwa uchi wa mnyama, bodaboda walipo mtambua ndio kumvisha nguo. Huko nyuma ebitoke aliwahi kudai rafikiye Lola anataka kumuua...
12 Reactions
61 Replies
824 Views
Tetesi nilizodaka toka kwenye vyombo vya usalama ni kwama Nchimbi hayupo Tanzania. Ametoweka kuogopa kutekwa Wanangu chimbeni na kufuatilia hili ili tuivue nguo CCM.
18 Reactions
78 Replies
2K Views
  • Featured
Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoa ufafanuzi kuhusu nafasi ya Makamu wa Rais Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu lini nafasi ya Makamu wa Rais inakuwa...
2 Reactions
63 Replies
1K Views
Hellow wa JF. Naona kuna taarifa nyingi zinasamba za kutunza chakula ili kujikinga na njaa wakati wa Mvua za El Niño. Naomba kuwakumbusha pia wadau mnaoishi kwenye mabonde na vichochoroni...
9 Reactions
51 Replies
676 Views
Tukijipumzisha kidogo na haya yanayo tokea nchini hebu tujadili hii issue kama kutafsiri kile kinacho endelea. Katika kukuwa nilikuwa naskia huyu kijana, au huyu mtoto lazima aje aibadilishe hii...
1 Reactions
5 Replies
32 Views
Mkuu britanicca please mtu wangu kumbuka nimeamua kukesha licha kesho saa 10 alfajri nawahi kubeba box. Na ndio nimerudi Ghetto muda siyo mrefu. Please 🙏🏿 🙏🏿 🙏🏿 🙏🏿 usituangushe mtu wangu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Famahamuni haya fika. Mfumo wetu wa Uraisi ulioanza mwaka 1995 wa mgombea mwenza tumeuiga kutokea nchi ya Marekani, ambapo Raisi na Makamu wake wanateuliwa kwa pamoja, na wanaanza kazi siku...
112 Reactions
238 Replies
4K Views
Kwa haraka haraka nadhani wamejikita kuangalia asili ya mtu na si tabia zake. Serikali ya sasa ingehitaji makamu chawa hasa. Ndejembi ni mtu social , sikuwaahi kumuona kwenye press za kichawa...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
‼️UASILI WA DEO NDEJEMBI KUMBE UNA UZANZIBARI‼️ Kumbe Mama yake Ndejembi ni Mpemba anayeishi London? Eh watu mna siri! Alafu TISS bana mnamkubalia kimama amteue alafu mnakuja kutulalamikia...
54 Reactions
238 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
2,085,512
Posts
56,044,794
Back
Top Bottom