Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kipi kinachozuia mkutano wa baraza kuu la CHADEMA ili hali mkutano utaendeshwa kwa Hela za donation mlizowatapeli wajinga? Warudishieni watu hela zao. Mnazugazuga mwisho wa siku hakuna mkutano...
2 Reactions
39 Replies
99 Views
Binti huyu wa tz ni mrembo sana.waatalam wamemtengeneza mno.hata madem huk bongo wanamuoneya wivu kisa yy n mrembo kwa waliko.choku wa kenya haisomi namba hapa.
0 Reactions
5 Replies
14 Views
Habari wakuu, Mimi ni mwanaume wa miaka 27, muajiriwa serikalini. Mrefu kiasi na mweusi. Mkristo Ombi langu kwenu ndugu zangu nahitaji mwanamke ambae atakuwa mchumba kwa lengo la ndoa baadae...
4 Reactions
120 Replies
763 Views
wakati huu mungu ananionesha kijana mmoja ambae amelewa sana na ametumia pesa nyingi sana kwa ajiri ya kununulia pombe kiasi kwamba mpaka anajutia, mungu ananiambia nimsihii sana uyu kijanana...
2 Reactions
6 Replies
76 Views
Mawazo kina yametawala kichwa changu, ila uwezo Sina kulitawala jicho langu, Hii ni baadhi ya mistari kutoka Kwa ally nipishe kijana alie wika sana enzi hizo, huyu dogo alipata masala, Iko hivi...
2 Reactions
15 Replies
115 Views
Usikae kinyonge Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho Pita hapa uone pia shuhuda za wengine Changamoto...
31 Reactions
438 Replies
39K Views
mimi nikiwa kama mzee wa dua nimevisikia vilio venu sigle mother wote kwa kweli mnanyanyaswa sana sasa ninasema mimi ndie nitakae kua kimbilio lenu wote mtapata falaja kwa kupitia mimi
2 Reactions
23 Replies
115 Views
Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara Napata maji safi, Hewa safi, Kelele nzuri za ndege, Hakuna msongo wa mawazo, Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka, Napata vitu...
24 Reactions
139 Replies
877 Views
Hivi ukiwa u vccm akili na hekima vinatokea matakoni kwenda ubongoni? Makonda aliwai mkwida warioba, ili Mimi sikuadisiwa niliona mwenyewe, Leo KAWAIDA anamwambia Nchimbi Hana adabu ana kiburi...
0 Reactions
7 Replies
141 Views
Mji wa birmingham, ndio unaongoza kwa kuwa na wahamiaji wengi kutoka uarabuni, hii imelepekea kuchaguana katika nafasi za juu. Uk na europe inaangamia mdogo mdogo
0 Reactions
2 Replies
22 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,774
Posts
56,051,617
Back
Top Bottom