Kipi kinachozuia mkutano wa baraza kuu la CHADEMA ili hali mkutano utaendeshwa kwa Hela za donation mlizowatapeli wajinga? Warudishieni watu hela zao.
Mnazugazuga mwisho wa siku hakuna mkutano...
Binti huyu wa tz ni mrembo sana.waatalam wamemtengeneza mno.hata madem huk bongo wanamuoneya wivu kisa yy n mrembo kwa waliko.choku wa kenya haisomi namba hapa.
Habari wakuu,
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, muajiriwa serikalini. Mrefu kiasi na mweusi. Mkristo
Ombi langu kwenu ndugu zangu nahitaji mwanamke ambae atakuwa mchumba kwa lengo la ndoa baadae...
wakati huu mungu ananionesha kijana mmoja ambae amelewa sana na ametumia pesa nyingi sana kwa ajiri ya kununulia pombe kiasi kwamba mpaka anajutia, mungu ananiambia nimsihii sana uyu kijanana...
Mawazo kina yametawala kichwa changu, ila uwezo Sina kulitawala jicho langu,
Hii ni baadhi ya mistari kutoka Kwa ally nipishe kijana alie wika sana enzi hizo, huyu dogo alipata masala, Iko hivi...
Usikae kinyonge
Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho
Pita hapa uone pia shuhuda za wengine
Changamoto...
mimi nikiwa kama mzee wa dua nimevisikia vilio venu sigle mother wote kwa kweli mnanyanyaswa sana sasa ninasema mimi ndie nitakae kua kimbilio lenu wote mtapata falaja kwa kupitia mimi
Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara
Napata maji safi,
Hewa safi,
Kelele nzuri za ndege,
Hakuna msongo wa mawazo,
Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka,
Napata vitu...
Hivi ukiwa u vccm akili na hekima vinatokea matakoni kwenda ubongoni?
Makonda aliwai mkwida warioba, ili Mimi sikuadisiwa niliona mwenyewe,
Leo KAWAIDA anamwambia Nchimbi Hana adabu ana kiburi...
Mji wa birmingham, ndio unaongoza kwa kuwa na wahamiaji wengi kutoka uarabuni, hii imelepekea kuchaguana katika nafasi za juu.
Uk na europe inaangamia mdogo mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.