Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Shikamoni wakubwa zangu. Mimi ni mtumishi serikalini, mshahara 600K. Nataka nijilipue, nikope benki Tsh. Milioni 15. Zipi faida na hasara zake? Na vipi kuhusu makato yao? Nimepanga nichukue wa...
7 Reactions
61 Replies
379 Views
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Ismail Jussa, amewashukia baadhi ya wanasiasa wanaokosoa mfumo wa Muungano na uwepo wa Rais kutoka Zanzibar, akisema wameanza kukumbuka "Utanganyika" wao...
8 Reactions
61 Replies
625 Views
Imefanya nchi kuwa maskini toka tupate uhuru kutoka kwa mkoloni.hadi sasa ni umaskin tuh hatuna cha maana ni upuuzi tuh. Uganda,kenya imo mbele yetu maana...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Baada ya kufanya uchunguzi wangu binafsi juu ya hawa viumbe wanawake nimegundua wanawake wengi wanaolewa na wanaume ambao sio wa ndoto zao, yaani wale ambao wanawapenda na yote haya yanatokea...
4 Reactions
9 Replies
138 Views
Sikuwai kujua kwamba hawa watu ni wadini vibaya mno Zitto Kabwe na Fartuma Karume hawa kipindi cha Magufuli walikua wanamidomo kelele kila siku kumbe takataka tu uzuri ni kwamba sisi...
2 Reactions
5 Replies
41 Views
Anasema, Ni mzanzibari na wala si Mtanganyika wa Dodoma, and therefore si Mgogo according to this information from this chap! With this information if true, ana sifa za kuwa na nafasi aliyopewa
9 Reactions
35 Replies
927 Views
Hiki chama kina matatizo sana yaani wao cha kwanza kwao ni maslahi ya chama kwanza. Na sababu kuu ni kwamba wameaminishwa kwamba hakuna maisha nje ya chama hivyo mtu yuko tayari kusaliti dhamiri...
8 Reactions
20 Replies
218 Views
NB: Nina Akili Ndogo Sana Kuna mtanzania anaishi nchini Uholanzi (Rottardam au Amsterdam) anaendesha genge la uhalifu mbalimbali na ukwepaji wa kodi. Government officers kimyaa. Makosa yake ni...
0 Reactions
5 Replies
76 Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
252 Reactions
426K Replies
40M Views
Yesu alisema hata kama hamniamini basi niaminini kwa kazi mnazoziona. Kumbe wazanzibar ni wamoja na wameshikana kindakindaki na ajenda yao ambayo huenda Mama amepanga kuwapatia kama tunu na...
1 Reactions
5 Replies
106 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,705
Posts
56,049,395
Back
Top Bottom