Kuna wadau waliomba niwe naleta utabiri wa mipira ukiacha kutoa tabiri mbali mbali,afya,taifa nk.
Hatimae Leo nimefungua rasmi Uzi wa utabiri wa mikeka.
Mzee mwenye umri wa miaka 92, Celestino, pamoja na bibie wa miaka 87, Sevelina, rasmi wamefunga ndoa katika sherehe ya harusi iliyofanyika Kaunti ya Meru, nchini Kenya baada ya miaka 51 ya uchumba...
Mimi mpaka leo naamini Princess DIana aliuliwa na British Royal Family
Ile ajali haikuwa ya kawaida kabisa.
Mwaka 1996, Diana aliandika barua akihofia kuwa aliyekuwa mumewe (Charles) alipanga...
TUNDU LISSU ANAMHOJI SHAIDI WAKE JOHN MNYIKA MAHAKAMANI
SEHEMU YA 1.
Kesi inasomwa na Karani wa Mahakama: CRIMINAL SESSION, kesi namba Tundu Antipas Lissu dhidi ya Jamhuri.
Wakili wa Serikali...
Kwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa...
Lucius Domitius Aurelianus,
Hili ni jina kubwa mno kwenye historia ya dunia: Huyu alikuwa ni jemedari mahiri kabisa wa vita (Impeator) na baadaye akaja kuwa mfalme wa bora wa Dola la Roma...
Kuna ushauri ambao unaweza kuonekana wa kawaida unapousikia, lakini ukiutafakari kwa kina unaweza kubadilisha kabisa namna unavyoishi.
“Kijana punguza mbwembwe. Siku zote mtu mwenye ndoto kubwa...
Na. M. M. Mwanakijiji
Wanasifia "Katiba yetu nzuri"
Wanasema wameridhia EN ajiuzulu
Wakafanya kikao na kupendekeza mtu mwingine
Wakampitisha Bungeni
Wakaenda kumuapisha Ikulu
Wakahamisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.