Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,911
- 36,754
Hello!
Serikali ilikosea sana kutunyima mshahara wa Machi baadhi ya watumishi wa umma kwasababu ya kutokukamilisha PEPMIS.
Nikiri kuwa kazini kwetu hakuna aliyepata semina wala kidudu gani, tuliwekewa tu tangazo Whatsapp tujiunge wenyewe. Mimi binafsi niliona simple nikajiunga nikaona mchezo umeisha kwakuwa nawaza ku log in na out. Kumbe kuna vipengere vingine.
Mpaka HR wetu alinyimwa mshahara wa Machi. Ilikuwa uzembe wa makao makuu. Imagine uzembe wa makao makuu nanyimwa Mimi mshahara ambao ni kamshahara kadogo. Pia hata kama makao makuu walizembea mahali bado haikuwa haki mtumishi yeyote kunyimwa mshahara wake kwa issue za kitoto.
Binafsi huu mwezi nimeumaliza salama from 22 Machi mpaka 21 Machi. Nasubiri kesho kama nitapata mshahara maana nimejaza lote. Kama sitalipwa kwasababu labda nimechelewa kujaza au sababu nyingine nitamwomba boss anipe likizo ya mwezi mmoja maana nitaishia jela.
Maana hasira zangu zitanipeleka kutafuta mshahara kila siku. Yaani kila nikitoka kazini nitoke na mshahara wa mwezi. Hii itaniharibia. Kwa amani tu nitaomba likizo ya mwezi mpaka nianze kuona mshahara.
Serikali ilikosea sana kutunyima mshahara wa Machi baadhi ya watumishi wa umma kwasababu ya kutokukamilisha PEPMIS.
Nikiri kuwa kazini kwetu hakuna aliyepata semina wala kidudu gani, tuliwekewa tu tangazo Whatsapp tujiunge wenyewe. Mimi binafsi niliona simple nikajiunga nikaona mchezo umeisha kwakuwa nawaza ku log in na out. Kumbe kuna vipengere vingine.
Mpaka HR wetu alinyimwa mshahara wa Machi. Ilikuwa uzembe wa makao makuu. Imagine uzembe wa makao makuu nanyimwa Mimi mshahara ambao ni kamshahara kadogo. Pia hata kama makao makuu walizembea mahali bado haikuwa haki mtumishi yeyote kunyimwa mshahara wake kwa issue za kitoto.
Binafsi huu mwezi nimeumaliza salama from 22 Machi mpaka 21 Machi. Nasubiri kesho kama nitapata mshahara maana nimejaza lote. Kama sitalipwa kwasababu labda nimechelewa kujaza au sababu nyingine nitamwomba boss anipe likizo ya mwezi mmoja maana nitaishia jela.
Maana hasira zangu zitanipeleka kutafuta mshahara kila siku. Yaani kila nikitoka kazini nitoke na mshahara wa mwezi. Hii itaniharibia. Kwa amani tu nitaomba likizo ya mwezi mpaka nianze kuona mshahara.