Umri wa kustaafu ukipunguzwa, nafasi za ajira kwa vijana wanaohitimu elimu ya vyuo vikuu zitapatikana

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,310
7,881
Katika jitihada za kuongeza ajira kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu elimu ya vyuo vikuu, tunaishauri Serikali kupitia wizara husika kurekebisha umri wa kustaafu watumishi wa umma uwe miaka 50 badala ya miaka 55.

Kwa sasa mtumishi anastaafu kwa mujibu wa sheria miaka 55 na wengine hadi 65!! hawa wazee ndio wanazuia nafasi za vijana kuajiriwa.
sheria zirekebishwe.umri wa kustaau uwe miaka 50.

Naamini wizara ya Simbachaweni italichukua wazo hili na kulifanyia kazi.

Pamoja na jitihada nzuri zilizo fanywa na wizara ya Elimu kuboresha mitaala na kuongeza tahasusi za ujasiriamali, pia wizara ya Utumishi inapaswa ifanye kitu ili kuondo ama kupunguza tatizo la ajira.


Nawasilisha
 
Shida ya sisi vijana tukishapata Office hekima nidham busara hakuna...
Kuna kuwa na mashindano umalaya na upuuzi...na ndo maana kuna umri katika level flan katika serikali yoyote Duniani.
Tukazane kupambana sio lazima uwajiriwe serikalini kutokana na kuchukua kozi nyepesi ili mradi tu na wewe ujulikane msomi mtaani kwenu.
 
Kutatua tatizo ni kuongeza nafasi za ajira na mazingira bora ya kujiajiri.

Kupunguza umri wa kustaafu haitatatua tatizo, hivi sasa waliopo kwenye ajira wengi hawajafika miaka 45.

Na pia ukumbuke na wewe Siku moja utafika huko na kwa mishahara hii ya kitanzania utakua hujafanya lolote la maana na utatamani umri wa kustaafu uongezwe hadi 65.
 
Hapana umri wa kustaafu uwe miaka 45 ili mtu ajipange mapema na biashara zake , mshahara uwe ni mtaji wa biashara.
 
Katika jitihada za kuongeza ajira kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu elimu ya vyuo vikuu, tunaishauri Serikali kupitia wizara husika kurekebisha umri wa kustaafu watumishi wa umma uwe miaka 50 badala ya miaka 55.

Kwa sasa mtumishi anastaafu kwa mujibu wa sheria miaka 55 na wengine hadi 65!! hawa wazee ndio wanazuia nafasi za vijana kuajiriwa.
sheria zirekebishwe.umri wa kustaau uwe miaka 50.

Naamini wizara ya Simbachaweni italichukua wazo hili na kulifanyia kazi.

Pamoja na jitihada nzuri zilizo fanywa na wizara ya Elimu kuboresha mitaala na kuongeza tahasusi za ujasiriamali, pia wizara ya Utumishi inapaswa ifanye kitu ili kuondo ama kupunguza tatizo la ajira.


Nawasilisha
Sawa itapatikana, hao waajiriwa wapya watadumu kwa miaka mingapi kabla na wao kuachia nafasi, wengi hawatadumu kwa miaka ishirini.
 
MTU akiwa na tija hawezi kustaafu hii ni duniani kote.

Serikali inabidi kuongeza fursa zaidi katika sekta binafsi na serikalini.

Ila huwa sioni umuhimu wa kumsubiri MTU astaafu ili mwingine ndo apate kazi , nikupoteza muda.

Kuna wazee wapo tayari 60+yrs Ila hauwezi kumuweka chini maana bado yupo na tija Sana.

Ajira zikiwa za mkataba hii inaweza kusaidia na sio umri .
 
Umri wa kustaafu kwa watumishi wa umma kwa mujibu wa sheria ni miaka 60, sio 55. Ila mtu akitaka kustaafu kwa hiyari miaka 55, ruksa
 

Attachments

  • Screenshot_20240420_121641_Drive.jpg
    Screenshot_20240420_121641_Drive.jpg
    92.3 KB · Views: 3
Hapana umri wa kustaafu uwe miaka 45 ili mtu ajipange mapema na biashara zake , mshahara uwe ni mtaji wa biashara.
Kuna fani mfano vyuo vikuu ukiweka huo umri vigumu kupata Proffessor vingine vigumu umri huo kupata mtu kama Jaji mkuu na daktari bingwa

Umri huo pia mtu akistaafu 45 kutazuka tatizo lingine nchi kuwa na wastaafu wengi vijana na kuwa mzigo mkubwa kwa taifa kulea vijana wastaafu vijana wenye nguvu zao ku wasiofanya kazi yeyote kwa kuwalipa pension kila mwezi wakiwa wamekaa tu
 
Katika jitihada za kuongeza ajira kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu elimu ya vyuo vikuu, tunaishauri Serikali kupitia wizara husika kurekebisha umri wa kustaafu watumishi wa umma uwe miaka 50 badala ya miaka 55.

Kwa sasa mtumishi anastaafu kwa mujibu wa sheria miaka 55 na wengine hadi 65!! hawa wazee ndio wanazuia nafasi za vijana kuajiriwa.
sheria zirekebishwe.umri wa kustaau uwe miaka 50.

Naamini wizara ya Simbachaweni italichukua wazo hili na kulifanyia kazi.

Pamoja na jitihada nzuri zilizo fanywa na wizara ya Elimu kuboresha mitaala na kuongeza tahasusi za ujasiriamali, pia wizara ya Utumishi inapaswa ifanye kitu ili kuondo ama kupunguza tatizo la ajira.


Nawasilisha
SIJUI KAMA CCM ITAKUBALI KWANI MZEE WASSIRA MZEE MKUCHIKA BADO WANATAKA TEUZI
 
Shida ya sisi vijana tukishapata Office hekima nidham busara hakuna...
Kuna kuwa na mashindano umalaya na upuuzi...na ndo maana kuna umri katika level flan katika serikali yoyote Duniani.
Tukazane kupambana sio lazima uwajiriwe serikalini kutokana na kuchukua kozi nyepesi ili mradi tu na wewe ujulikane msomi mtaani kwenu.
Mfano mdogo ni Vijana hawa
Makonda
Hapi
Sabaya
Jerry Mulo
N k
 
Hata umri wa kustaafu ukishuka hadi miaka 30 bado tatizo la ajira serikalini litakuwepo.Mwajiri mubwa ni sekta binfsi na si serikali
 
Katika jitihada za kuongeza ajira kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu elimu ya vyuo vikuu, tunaishauri Serikali kupitia wizara husika kurekebisha umri wa kustaafu watumishi wa umma uwe miaka 50 badala ya miaka 55.

Kwa sasa mtumishi anastaafu kwa mujibu wa sheria miaka 55 na wengine hadi 65!! hawa wazee ndio wanazuia nafasi za vijana kuajiriwa.
sheria zirekebishwe.umri wa kustaau uwe miaka 50.

Naamini wizara ya Simbachaweni italichukua wazo hili na kulifanyia kazi.

Pamoja na jitihada nzuri zilizo fanywa na wizara ya Elimu kuboresha mitaala na kuongeza tahasusi za ujasiriamali, pia wizara ya Utumishi inapaswa ifanye kitu ili kuondo ama kupunguza tatizo la ajira.


Nawasilisha
Kuna vijana wameajiriwa wasipolipwa hafanyi Kazi ikakamilika,ni hawa mwendo kasi wa mwaka 2000 au 1998,wanachojua wao ni kupiga tuu,kwahiyo kama mawaziri wenyewe ndo hawahawa na ndo hao wameaxha mwendo kasi na Bandari vimeenda,sasa inakuwaje wakiachiwa Nchi nzima ikulu itakuwa ya kupangisha.
 
😂😅😂😅 nyie vijana wasengerema nini, watu wanataka waongeze hadi 65 nyie mnataka ipunguzwe... Mnadhan kustafu ni kazi rahisi tafuteni kazi za kufanya si mlienda kusoma course za kujionyesha unasoma course nzuri inasikika vzuri mbele za watu...
Mshahara wa serikal mtamu nyie asikuambie mtu... Utasikia jiajiri watumishi wanalipwa pesa ndogo sana hata bodaboda anaipata 😂😅 mbwa wew haya endesha hiyo bodaboda ufe na ajali Godbless Lema akupost umening'iniza kichwa kwenye rejeta ya Scania Howo 😂😅
 
Back
Top Bottom