MJOMBA CHAKA
Member
- Oct 22, 2022
- 89
- 69
mpinzani wa kipozeoBarikhyan ni nani mkuu?
mpinzani wa kipozeoBarikhyan ni nani mkuu?
Kama nilivyoeleza maana ya Salaf kiistilahi hapo nyuma, ataingia yoyote yule ambae atakae FANYIA KAZI mafundisho ya Dini kwa uwelewa wa wema waliotangulia (Salaf), yaani iwe IBADA, ITIKADI NA MIAMALAAT ni kama walivyoelewa Maswahaba kisha wanafunzi wao (Attaabiina)kisha wanafunzi wao (Atbau ttaabiina).Asante sana mkuu. Je salaf aweza kuwa muumini wa dhehebu lolote (sunni, shia etc) ama salafiyyah ni dhehebu kamili linalojitenga na madhehebu mengine katika Uislamu?
Unahisi huku utapata msaada unaoutaka mkuu kwa nn usiende sehemu husikaWakuu amani kwenu,
With due respect naomba kujuzwa masalafi ni nani na wahabi ni nani? Ni nini tofauti zao kiimani na kiutamaduni? Je, Wanachangama vipi na Waislamu wengine wa madhehebu tofauti?
Karibuni tupeane elimu.
Fafanua mkuuHao wote ni makafir...waislam ni wasunni tu
Salafi na Wahabi tofauti ni jina tu ila ni mtu yule yule.Wakuu amani kwenu,
With due respect naomba kujuzwa masalafi ni nani na wahabi ni nani? Ni nini tofauti zao kiimani na kiutamaduni? Je, Wanachangama vipi na Waislamu wengine wa madhehebu tofauti?
Karibuni tupeane elimu.
Acha kukufurisha waislamu, Muogope sana Mwenyezi Mungu, na usiwe kama wale wanaokufurisha waislamu wenzao mara Ibaadhi mara sunniHao wote ni makafir...waislam ni wasunni tu
Mtu hafati Quran afu unamwita muislam?Acha kukufurisha waislamu, Muogope sana Mwenyezi Mungu, na usiwe kama wale wanaokufurisha waislamu wenzao mara Ibaadhi mara sunni
Mtu hafati Quran afu unamwita muislam?
MashiaNani hafuati Qur’an?
Mashia