DOKEZO Sukari inauzwa madukani Tukuyu ikiwa haina maandiko yoyote, haija ‘expire date’ wala utambulisho kuwa inatoka wapi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
602
1,264
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date.

Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
 
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date. Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
Dogo tufuatilie mara ngapi? Tuna Mungu. Mungu ndo mlinzi wetu .
 
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date. Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
Mzigo wa Upande wa pili kaka.
Somtimes Mikoa ya Mpakani maisha mtelezo kinyama. Unakuta Zambia Kg 1 Tshs 1500/= ukiivusha tu hapo Tunduma unaondoa kwenye vifungashio vyao, unaweka kwenye vile vya Kagera Sugar mzigo huuuu Dodoma bei 3800.
Anyway maisha ni Vita murra
 
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date.

Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
Watu wa Mbeya mnajulikana kwa kulianzisha, msiache hao wauzaji wawaharibie kyai kyenu kya rangi, see!
 
Nimesoma comments zote, nilichogundua ni kwamba Watanzania tuna matatizo makuvwa Sana, hususani kwenye suala zima la namma jinsi uwezo wetu wa kufikiri ulivyo na namma jinsi tunavyoendesha maisha yetu ya Kila siku kwa ujumla wake.
We are completely not serious about our safety, especially in case of food security.
Food Security and Quality Control ni suala nyeti Sana Tena ni la MUHIMU SANA KUZINGATIWA wakati wote. Lakini ukisoma maomi ya watu wengi hapa utagundua kwamba Watanzania wengi wala hawako serious, wanachukulia mambo poa kabisa.

Kutokana na mentality za hovyo kama hizi walizonazo Watanzania wengi, KGB ya Urusi (USSR) ilifanikiwa pakubwa Sana ktk 'kuwapukutisha na kuwaangamiza Warusi' wengi sana kwenye majimbo fulani fulani ambayo KGB iliona kwamba watu wa huko walikuwa 'kirusi' au kikwaxo cha kuenea kwa itikadi ya Ukomunisti. Aidha, hata Wahindi-Wekundu wenyeji wa asili wa nchi ya Marekani waliangamizwa kabisa kimya kimya, taratibu na uzao wao wote kutoweka kabisa ktk uso wa dunia kwa kupitia ktk njia hii ya food production and supply chain.

Watanzania tubadilike!
Siyo kila homa ni malaria!
 
Back
Top Bottom