anthony_art
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,031
- 370
Wewe umepinga Kwa hoja Gani zilizokosa majibu? Yaani unanitaka nikuthibitishie kivipi wakat ndio uhalisia uliopo? Wewe unaekataa kitu kilichopo ndio utoe hoja za kupinga zilizokosa majibu.Sasa una hoja gani?.....mpaka Leo umeshindwa kuthibitisha kama dunia ni Tufe linalozunguka....
Unaleta hadithi tu au hadithi ndiyo hoja?
BTW kama kukuthibitishia nimeshamaliza ila unachoweza ww ni kusoma tu UONGO,