Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    567
Sasa una hoja gani?.....mpaka Leo umeshindwa kuthibitisha kama dunia ni Tufe linalozunguka....

Unaleta hadithi tu au hadithi ndiyo hoja?
Wewe umepinga Kwa hoja Gani zilizokosa majibu? Yaani unanitaka nikuthibitishie kivipi wakat ndio uhalisia uliopo? Wewe unaekataa kitu kilichopo ndio utoe hoja za kupinga zilizokosa majibu.

BTW kama kukuthibitishia nimeshamaliza ila unachoweza ww ni kusoma tu UONGO,
 
Ingekuwa ina mapungufu isingetumika kutengeneza computer applications zinazoweza kupredict movement ya vitu angani.

Hiyo hapo juu ni moja wapo.

Mimi nachofikiri nadharia nzima ya dunia sahani ni useless kwa sababu hanipi chochote ambacho ni useful, itakapopatikana model inayofanyakazi hapo ndipo nitapobadili mtazamo wangu.

Sio rahisi kusema maswali ya mtu hayanalogic, ila yakiwa yanauliza kitu ambacho alishaelezewa hapo maswali hayo yanakosa logic.
Kupredict movement angani hakuifanyi Dunia iwe Tufe linalozunguka....

Unachotakiwa ni kuthibitisha:-
1. Dunia ni Tufe 👉🏼 🌍
2. Dunia inazunguka.

Huwezi kuthibitisha hivyo vitu hapo juu Kwa kuuganisha dots Tu kama unavyofanya wewe....
 
Wewe umepinga Kwa hoja Gani zilizokosa majibu? Yaani unanitaka nikuthibitishie kivipi wakat ndio uhalisia uliopo? Wewe unaekataa kitu kilichopo ndio utoe hoja za kupinga zilizokosa majibu.

BTW kama kukuthibitishia nimeshamaliza ila unachoweza ww ni kusoma tu UONGO,
Kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka,...... NDIYO KITU KILICHOPO??

HAPANA SIO KWELI.

Ingekua kweli hakuna Mtu ange doubt kuhusu hizo nadharia,....yaani kimsingi milango yako ya fahamu ina tafsiri tofauti na kile ambacho umeaminishwa...... unabisha?
 
Kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka,...... NDIYO KITU KILICHOPO??

HAPANA SIO KWELI.

Ingekua kweli hakuna Mtu ange doubt kuhusu hizo nadharia,....yaani kimsingi milango yako ya fahamu ina tafsiri tofauti na kile ambacho umeaminishwa...... unabisha?
Sasa kama ww unaakili timamu nambie ni nn kilichofanya useme UONGO kwenye Yale maelezo yangu?
 
Sasa kama ww unaakili timamu nambie ni nn kilichofanya useme UONGO kwenye Yale maelezo yangu?
Kwenye maelezo yako ulipodanganya ni kupindisha hoja niliyoitoa Kwamba air resistance ina act tofauti kwenye case ya parachute na kesi ya Jiwe lililorushwa juu.....


Huo ndiyo mzizi wa hoja yangu,....wewe umeenda kuongezea vitu ambavyo kimsingi havipo/sijasema.
 
Kwenye maelezo yako ulipodanganya ni kupindisha hoja niliyoitoa Kwamba air resistance ina act tofauti kwenye case ya parachute na kesi ya Jiwe lililorushwa juu...
Inatofautiana kivipi? Ukiachilia mbali kuwa jiwe limerushwa lkn parachute ina rise? Kumbuka parachute ikiwa inashuka inakuwa affected na air resistance, Sasa kwann jiwe likiwa linashuka chini lisiwe affected na air resistance?
 
Naomba majibu mkuu..
Kwanini position ya kuzama na kuchomoza kwa jua inabadilika?
Kwanini majira ya kuzama na kuchomoza kwa jua yanabadilika?
Una picha za miishio ( edges) za Dunia? Naziomba tuma hapa, na baada ya miishio hiyo kuna Nini?

Addition: ijumaa iliyopita China walirusha roketi live kwenye media kwa wakafika point astronauts peni zao zilikuwa zinaelea tu hewani kwanini?
hateeb10 tunakuhitaji hapa. Hii post unaikwepa kama huioni mkuu. Tunakusubiri hapa
 
Kupredict movement angani hakuifanyi Dunia iwe Tufe linalozunguka....

Unachotakiwa ni kuthibitisha:-
1. Dunia ni Tufe 👉🏼 🌍
2. Dunia inazunguka.

Huwezi kuthibitisha hivyo vitu hapo juu Kwa kuuganisha dots Tu kama unavyofanya wewe....
Actually it does.
Kama ingekosea shape ya dunia, isingeweza kumap object za angani zinavyoonekana sehemu mbali mbali katika realtime.
Unachohitaji ni kuangalia angani na kuverify kuwa information inayosema ni sahihi, kama ni sahihi kwa huna sababu yakufikiria itakuwa sio sahihi kwa watu waliopo sehemu nyingine duniani.

Au nafikiri system iliyotengenezwa kwa facts kuwa dunia ni tufe na inazunguka, inaweza kufanya kazi katika dunia ambayo ni flat na static?

Knowledge ya globe earth ni useful na imetumika kutengeneza vitu vilivyo useful kama hii system, hii system ni useful kwa sababu inasaidia watu wenye kuhitaji mazingira maalumu ya objects angani kuplan kazi zao.

Knowledge ya flat earth ni useless, haijatusaidia kufanya kitu chochote productive.
Unaweza kuchagua knowledge ambayo ni useful au ukabaki na knowledge yako ambayo ni useless!
 
Actually it does.
Kama ingekosea shape ya dunia, isingeweza kumap object za angani zinavyoonekana sehemu mbali mbali katika realtime.
Unachohitaji ni kuangalia angani na kuverify kuwa information inayosema ni sahihi, kama ni sahihi kwa huna sababu yakufikiria itakuwa sio sahihi kwa watu waliopo sehemu nyingine duniani.

Au nafikiri system iliyotengenezwa kwa facts kuwa dunia ni tufe na inazunguka, inaweza kufanya kazi katika dunia ambayo ni flat na static?

Knowledge ya globe earth ni useful na imetumika kutengeneza vitu vilivyo useful kama hii system, hii system ni useful kwa sababu inasaidia watu wenye kuhitaji mazingira maalumu ya objects angani kuplan kazi zao.

Knowledge ya flat earth ni useless, haijatusaidia kufanya kitu chochote productive.
Unaweza kuchagua knowledge ambayo ni useful au ukabaki na knowledge yako ambayo ni useless!
Bado hujathibitisha chochote.......👇🏼

Unachotakiwa ni kuthibitisha:-
1. Dunia ni Tufe 👉🏼 🌍
2. Dunia inazunguka.
 
Bado hujathibitisha chochote.......👇🏼

Unachotakiwa ni kuthibitisha:-
1. Dunia ni Tufe 👉🏼 🌍
2. Dunia inazunguka.
Bado tu umo humu? Objective ya wahubiri dunia ni tambarare ni nini? Motive behind.
 
Inatofautiana kivipi? Ukiachilia mbali kuwa jiwe limerushwa lkn parachute ina rise? Kumbuka parachute ikiwa inashuka inakuwa affected na air resistance, Sasa kwann jiwe likiwa linashuka chini lisiwe affected na air resistance?
Jiwe likiwa linashuka linakua more dense than air ndiyo maana effect ya air resistance haiwi taken into consideration au tunasema Inakua disregarded,... haiwezi Kuzuia Jiwe kuanguka au hata kulifaya lishuke slow.


Case ambayo ni tofauti kabisa na kwenye ishu ya parachute.
 
Bado tu umo humu? Objective ya wahubiri dunia ni tambarare ni nini? Motive behind.
Motive behind is just the reality of what is truly observed and make sense.........

Just assume, Dunia ni Tufe linalozunguka then chukulia limezunguka sasa....kitu gani kitatokea kwenye water bodies ambazo kimsingi zipo attached na Dunia? I mean what will be the reaction of water in response to earth's rotation!?
 
Motive behind is just the reality of what is truly observed and make sense.........

Just assume, Dunia ni Tufe linalozunguka then chukulia limezunguka sasa....kitu gani kitatokea kwenye water bodies ambazo kimsingi zipo attached na Dunia? I mean what will be the reaction of water in response to earth's rotation!?
Umeshawahi kupanda ndege?
 
hateeb10 tunakuhitaji hapa. Hii post unaikwepa kama huioni mkuu. Tunakusubiri hapa
Hapana sijaikwepa,....ishu ni kwamba sioni logic ya maswali husika....Kwa mfano anauliza kwanini position ya Jua kuzama na kuchomoza inabadilika......hapa alitakiwa atuambie position inabadilika vipi na amethibitisha vipi kama inabadilika?
 
Mkuu, uwezo wako wakufikiria
Bado hujathibitisha chochote.......👇🏼

Unachotakiwa ni kuthibitisha:-
1. Dunia ni Tufe 👉🏼 🌍
2. Dunia inazunguka.
Mkuu uwezo wako wa kufikiria umefikia mwisho, hutambui jema na baya.
Hata ukipelekwa nje ya dunia, utaishia kusema vioo vya vessel uliyopo ni CGI, ukitolewa nje utasema kioo cha space suit ni CGI.
Proof tayari umeshapewa na wadau, ni ubongo wako tu ndo umefikia limit ya kuzichambua hizo proof.
 
Motive behind is just the reality of what is truly observed and make sense.........

Just assume, Dunia ni Tufe linalozunguka then chukulia limezunguka sasa....kitu gani kitatokea kwenye water bodies ambazo kimsingi zipo attached na Dunia? I mean what will be the reaction of water in response to earth's rotation!?
Hiyo reality imewasaidia kutengeneza nini ambacho ni useful au productive?
 
Hiki ndicho ulichobakiza,

Ajabu umepewa majibu mengi sana humu, Ungekua mtu ambae ni mwepesi wa kupambanua mambo nadhani mpaka sasa ungekua umeshafahamu Dunia ni Tufe.
Bado hujathibitisha chochote.......👇🏼

Unachotakiwa ni kuthibitisha:-
1. Dunia ni Tufe 👉🏼 🌍
2. Dunia inazunguka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom