Mhe. Makonda angekuwa waziri angewasaidia wananchi wengi, tatizo yupo Mkoa wa Arusha tu, je sisi tulio nje ya mkoa huo tunapataje msaada wake?
Tunamuomba Mhe. RAIS aangalie namna yoyote ile Makonda awe waziri asiye na wizara maalum ili aweze kushughulikia kero za wananchi wote.
Tunamuomba Mhe. RAIS aangalie namna yoyote ile Makonda awe waziri asiye na wizara maalum ili aweze kushughulikia kero za wananchi wote.