Bora tuwe na damu ya utumwa kuliko kuhusudu Waarabu wa Loliondo.
Ilijifia vipi mkuu wakati eneo bado lipo?Hao wapuuzwe tu, Tanganyika ilishajifia.
🚮 🚮 🚮 🚮
Umeandika uharo gani huu
Tundulisu kuwafanya Hawa punguani watapetape.zanzibar wako huru lakini punguani hawataki Tanganyika iwe huru
TANZANIASafari hii mtanyooka wajinga wakubwa nyie, tunataka Tanganyika yetu
Hicho kizazi Cha kuchomekewa miungano isiyo na kichwa Wala miguu kilishapita. Ccm wameshapoteza ushawishi kwa umma, kilichobaki ni kupora chaguzi za nchi Ili iendelee kukaa madarakani kwa shuruti. Matokeo yake ndio haya mnatetea kitu ambacho hamna hoja za kuulinda, na kizazi hakiwaelewi kabisa.Tumia akili zako mkuu- usiendeshwe