Jinsi ya kutoa uchawi laana(vijicho) kwenye mwili

Hivi wachawi wanaweza kumloga MTU kama Kikwete,Mkapa,Dr Shein ,Trump,Bakhressa,au Mzee Mengi,vipi kuhusu Diamond Platinum,?
Acha utapeli,acha watu wafanye kazi,hakuna uchawi,hali yoyote inayomkumba binadamu,inaelezeka kisayansi,
Mlogeni Maghufuri,si amesababisha vyuma kukaza
acha utoto!
 
inategemea na aina ya nyekundu kuna red saphire,carnerian,red garnet,citrine,ruby,rubelity,andecine,beads,rhodonight na mengineyo sasa inategemea unaongelea jekundu lipi kati ya hayo

rakims
hizo aina sizijui hebu generelize maana ya red tu kiujumla ikiwa inawezekana.
 
Mkuu Rakims nyota yangu ni ndoo pete ya rangi gani inanifaa na ni nguo za rangi gani zenye bahati kwangu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom