Je, ni sheria kila mkazi wa Dar kulipa hela ya taka?

DIDAS TUMAINI

JF-Expert Member
Nov 11, 2014
238
659
Wakuu salamu,

Naomba kujuzwa, hivi ni sheria kuwa kila mkazi wa dar kulipa hela ya taka kwenye eneo lake la biashara hata kama biashara yako haizalishi taka?

Kumekuwa na tendency ya wakusanya taka kutoza hela kwa kila mwananchi hata kama kwa mwezi huo hawakuzoa taka kwenye eneo lake.

Je, ni lazima kutoa hiyo hela au ni hadi pale watakapokuwa wamezoa taka?

images (53).jpeg
 
Naomba nijibu kirahisi mtaa niliopo utakusanya taka zako akipita mtu unampa 1000 anapeleka dampo
Mtaa niliotoka tulikuwa tunalipa Kisha gari inakuja inachukua Kila mwezi
Hizi ni gharama za usafi tujitahidi kuzitekeleza kulingana na maeneo tuliyopo dar ni chafu sana
 
Wanakuja kuzoa leo wanakudai hela ya taka.. Ukishalipia huwaoni tena mpaka mwezi unaofata.. Wizi mtupu..
 
Back
Top Bottom