GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,509
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imewataka watoa huduma za usafirishaji abiria kupitia njia mpya na ya dharura kwa safari za kati ya mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara wasiwatoze abiria nauli ya zaidi ya shilingi 105, 000.
Chanzo: azamtvtz
Halafu GENTAMYCINE nikiwa mkali kwa baadhi ya Mamlaka na Utendaji wao wa hovyo hovyo baadhi mnachukia mno.
Chanzo: azamtvtz
Halafu GENTAMYCINE nikiwa mkali kwa baadhi ya Mamlaka na Utendaji wao wa hovyo hovyo baadhi mnachukia mno.