Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,911
- 36,754
Daaaaahh, so sad
Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?
Ili afedheheke katika jamii?
Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.
Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.
Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.
Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.
Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.
Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.
Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?
Ili afedheheke katika jamii?
Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.
Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.
Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.
Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.
Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.
Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.
Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.