CHADEMA muwe Waangalifu na Hizi helicopter ndogo mnazokodi wakati wa Kampeni!

inawezekana kabisa ukawa KALUMANZILA WA KISASA. Kwanza iliruka wee baadaye VIBALI VIKAPOTEA🤣🤣🤣. VIKIONENAKA unaweza sikia kile ambacho masikio hayataki kusikia. ASANTE SANA KALUMANZILA.
 
Labda itokee ajali ya kawaida lakini assassination record ya Tz ni:
1. Victim against risasi.
2. Kuviziana na kutekana
3. Ajali fake ya magari.
4. Kupotezwa.
5. SUMU ,hii iko CCM Sana.
 
Back
Top Bottom