Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500,
Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Ukiweka chapati mbili za 250/- haaa, shavu dodo! 😀
 
juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
unasema bubu, kuna siku tuliharibikiwa gari pale sheli usiku kama wa saa 8. Tulielekezwa fundi yupo pale hoteli iliyoambatana na Kimboka. Tulikutana na kiwete wa kusota kabisa na yeye anauza mbwasha. Advertise yake anatingisha kiuno huku kasimamia mikono.

Nasikia ana wateja wa kutosha kabisa wa kupanga foleni. Kimboka ile ni fantasy land, hakuna utakachokosa pale.
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500,
Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
sasa hii unajuaje ni nyama halali ukilishwa nyama ya mbwa?
 
Hiyo ni supu ya vitoto vya ng'ombe.
Kule Vingunguti wakichinja ng'ombe wakakuta ni mjamzito hivyo vitoto ndiyo wanauziwa wamama wa Buguruni wanaowapikia hizo supu za jero jero
Hivyo vindama ambavyo havijazaliwa ng'ombe akichinjwa vinaliwa sana na mataifa ya ulaya mashariki wao huita delicatessen. Utaipenda wanavyo itengeneza. Hakitupwi kitu. You just eat from skin to bones.
 
Back
Top Bottom