Search results

  1. Mwanongwa

    KERO Idara ya Maji Mbeya zibueni chemba za maji taka zilizoziba, zinasababisha kero kubwa

    Taarifa iwafikie Idala ya Maji safi na maji taka mkoa wa Mbeya. Hivi huwa mnautaratibu wa kukagua chemba za maji taka hapa jijini maana mji mzima umekuwa ukinuka harufu ya maji taka. Mwanzo ilikuwa chemba ya pale Sabasaba karibu na ofisi za CCM, ilikuwa ikivujisha maji taka kwa muda mrefu sana...
  2. Mwanongwa

    *MILIONI 11.4 KUGOMBANIWA TULIA TRUST UYOLE CUP 2024

    Mashindano ya Mpira wa Miguu Tulia Trust Uyole Cup 2024 yanayofanyika katika Uwanja wa Mwawinji Uyole ya Kati Mbeya Mjini. Mashindano haya Yanashirikisha Timu 32 ambazo zimepewa Vifaa vya Michezo (Jezi) Kwaajili ya Mashindano hayo. *ZAWADI •Bingwa Tsh.5,000,000/= •Mshindi wa 2...
  3. Mwanongwa

    DOKEZO Mkurugenzi City Casino Mbeya ambaye ni raia wa kigeni atishia kuua Waandishi wa Habari wanaofuatilia tuhuma za kumfanyia ukatili mke wa mtu

    Mnamo tarehe 8/04/2024 Majira ya saa 2 Usiku katika Kata ya Iyela Wilaya ya Mbeya Mjini inasadikika Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia anayeitwa Vasil Dosev Dimitrov, alimchukua kwa nguvu mfanyakazi wake wa kike jina linahifadhiwa na kwenda kumfanyia ukatili wa Kijinsia na...
  4. Mwanongwa

    Rungwe Youth Sports center yapewa Shavu Azam fc

    Kituo cha kulea vipaji cha Rungwe youth sports center kilichopo wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya kimeingia mkataba na klabu ya @azamfcofficial kwaajili ya kulea Vijana wnye vipaji ambao baadae watakuja kusajiliwa na timu hiyo pamoja na timu zingine hapa nchini na nje ya nchi. Mkataba huo...
  5. Mwanongwa

    Dkt. Tulia Ackson azidi kusambaza upendo Mbeya

    Diwani wa kata ya majengo jijini Mbeya ,Maulid Jamadary amemshukuru Dr Tulia Ackson mbunge wa Mbeya mjini na Spika wa bunge la JMT kwa msaada wa kiti mwendo (wheelchair ) na Bima ya afya kwa Elizabeth Mbewe ambaye ni mkazi wa kata ya Majengo . Elizabeth amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda...
  6. Mwanongwa

    KERO Wafanyakazi wa TRA ofisi za jengo la SIDO & Mwanjelwa huduma zenu mbovu

    Wafanyakazi wa TRA wamekuwa miungu watu now wanafanyakazi vile wanavyojisikia wao
  7. Mwanongwa

    KERO Wafanyakazi wa TRA ofisi za jengo la SIDO & Mwanjelwa huduma zenu mbovu

    Wafanyakazi wa TRA ofisi za Sido & Mwanjelwa mnakera sana wateja wenu. Watu tumeacha shughuli zetu ili tuje tulipe hizo kodi mnazozihitaji lakini huduma zenu zimekuwa mbovu sana. Wahudumu wachache na pia hao watoto mliyowaleta kwaajili ya Field embu jaribuni kuwaelimisha namna ya kuwahudumia...
  8. Mwanongwa

    Je kunaulazima wowote wa kulazimasha wazazi kununua bidhaa shuleni

    Mwalimu mmoja anayefahamika kwa jina la Yusuph wa shule ya Msingi ZIGA ya mchepuo wa kingereza iliyopo katika mji wa Makambako wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe,anatuhumiwa na wazazi kwa kukataa kusahihisha madaftari ya wanafunzi ambayo hayana Nembo ya Shule hiyo. Wazazi hao wamesema kuwa...
  9. Mwanongwa

    Je kunaulazima wowote wa kulazimasha wazazi kununua bidhaa shuleni

    Mwalimu mmoja anayefahamika kwa jina la Yusuph wa shule ya Msingi ZIGA ya mchepuo wa kingereza iliyopo katika mji wa Makambako wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe,anatuhumiwa na wazazi kwa kukataa kusahihisha madaftari ya wanafunzi ambayo hayana Nembo ya Shule hiyo. Wazazi hao wamesema kuwa...
  10. Mwanongwa

    Hivi ni kwanini mwanaume akimzalisha tu binti dharau zinaanza

    Habari wana jamii,hongereni kwa kuweza kuvuka mwaka salama. Nina rafiki yangu wa kike anafanya kazi jijini Dodoma ameolewa na jamaa mmoja wa mkoani Mara, mahusiano yao yalikuwa good sana mwanzoni ila baada ya tu ya mwanamke kuzaa watoto wawili jamaa amebadirika sana. Anamtolea mke wake maneno...
Back
Top Bottom