Nilikuwa na app ya bure niliweka matangazo. Walifika kama active users 5000. Pesa ya matangazo ilifika 40 dollars. Baadaye nikafungiwa sababu contents zilikuwa za kiswahili na wao hawasupporet apps zenye contents za kiswahili. Leo ingekuwa kubwa sana.
Kama unatangaza matangazo ya kulipia tofauti yao siyo kubwa sana. Ila watu wa facebook wanaengage sana kwenye comments. Tatizo lao ni kutokuwa na pesa za kutosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.