Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,984
- 12,307
Leo Mei 6, 2024, JamiiForums (JF) imetembelewa na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael A. Battle, kwa lengo la kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na taasisi, ambapo amepitishwa kwa kina na kufahamu utekelezaji wa programu 8 za kitaasisi unaoendelea
Balozi Battle aliyeongozana na Ujumbe wake, wamefanya majadiliano na Uongozi na Watendaji wa JF katika kuangazia namna bora ya kujenga na kuimarisha ushirikiano baina ya pande mbili (Ubalozi na JF)
Balozi Battle aliyeongozana na Ujumbe wake, wamefanya majadiliano na Uongozi na Watendaji wa JF katika kuangazia namna bora ya kujenga na kuimarisha ushirikiano baina ya pande mbili (Ubalozi na JF)