Waungwana mwenzenu Sina Aman kabisa ndoto zangu zangu zmeyeyuka nmekutana na DEMU nisiyemjua status yake nikamwita gheto akaja nikapiga na kondomu bahat mbaya ikapasuka bila kujua Ile kuchomoa hv nikagundua imepasuka hakika stress zikaanza usiku sikulala kabisaa Basi kesho yake nikajihimu kwenda dispensary kupima majibu yakatoka nipo negative
Daktari akashauri nimtafte huyo DEMU nimpeleke akapime lkn huyo DEMU akagoma yaan hata mawasiliano amekata kabisa na Mimi
Na leo nimefikisha masaa 50 yangu tulipo kutana.
MSAADA kwenye tuta jmn nimepagawa.
Majibu ya vipimo vyangu ni hiv apa nmeatach.
View attachment 1917287
Itakua alikua na ukame wa karne😂
Teh teh kidogo tu jamani😛😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mchokozi Lenie kumbe!?
Teh teh kidogo tu jamani😛😅😅
Kweli tena, hata wewe unalijua hilo😂😂😂😂😂😂 kidogo tu eh! 😜😜
Kweli tena, hata wewe unalijua hilo😂😂
acha tu ni matukio mazito kwa kweli..siku nikikaa vizur nitakuja shuka na uzi...acheni kabisa! Ashukuriwe Baba wa mbinguni Mwenye enzi yote! Siitaji tena wanawake mmoja tu ananitosha. It has been 5 months Now since God Saved me out of Missery! Na namshukuru Mungu nipo naendelea kiafya vizurAisee, MUNGU anatuhurumia sana.
Aminaacha tu ni matukio mazito kwa kweli..siku nikikaa vizur nitakuja shuka na uzi...acheni kabisa! Ashukuriwe Baba wa mbinguni Mwenye enzi yote! Siitaji tena wanawake mmoja tu ananitosha
Kiongozi acha tu..hicho ni kiwewe tu!! ulishawahi pata tumbo la kuhara baada ya kuangukia sehem sio? sikia tu kwa wengineSasa NEGATIVE unapiama masaaa machache unatakiwa upime baadaya miez 3
Sahihi kabisa.Hizi kesi huwez kuzisikia kwa wanangu wa chaputa