JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hapo umeelekezwa kibra. Ni tumsalie sala ya mwisho tu. Uzi tayari.
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Tajiri huwa haongei sana. inajulikana masikini wana hasira za haraka mno, nahofia nisije kutumia njia ya kawaida tu kumwambia huyu mtu nikashangaa ananipiga kabali. Na vile masikini walivyo na...
13 Reactions
107 Replies
3K Views
Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya kuhusu makabila yenye wanawake wenye viburi hapa Tanzania. 1. Wachaga 2. Wakurya 3. Wanyakyusa 4. Wahaya 5. Wapare 6. Wasukuma 7. Wameru 8. Wajaluo Yani...
60 Reactions
386 Replies
29K Views
Dondosha jina la mtu anayekufurahisha JF anavyoandika nyuzi zake au replies. Mallerina unanifurahisha sana na majibu yako kwenye threads. Najua siwezi kukuanzishia nyuzi bure bure my future...
11 Reactions
85 Replies
2K Views
Habari Kuna baadhi ya clip hata kama ushaiangalia zaid ya mara 10 ila kila ukiingalia tena lazima ikuchekeshe au ikukumbushe jambo fulani Weka hapa tufurahii😁 Zangu ni hizo,sijawahi kuzifuta...
1 Reactions
8 Replies
369 Views
Za jioni wakuuu.................................... Anyway weekend iko poa? Nimekaa hapa nikakumbuka siku ya kwanza nilipoingia barbershop ebwanaaa eeeh ilikuwaa hiviii 👇👇 Niliona saloon...
5 Reactions
8 Replies
698 Views
We jiamini tu na hakikisha wote mnaweza kuelewana kwa hiyo lugha, kwisha habari. Trust me hapo lazima mtu ang'ang'ane nawewe. ===== Kwa hisani ya Braza Kede
9 Reactions
55 Replies
1K Views
Kwa kweli, kwa kuwa mwaminifu wa dhati katika maoni yangu ya unyenyekevu, bila kuwa na hisia na bila shaka bila kumuudhi mtu yeyote ambaye anafikiri tofauti na mtazamo wangu ...na bila uongo kwa...
2 Reactions
3 Replies
223 Views
Unakuta msichana amepost mtandaoni video au picha, amejiwekea filter ya kuongeza mdomo unakua umetuna kama ameng’atwa na nyuki. Nimeona sana kwa mabinti wa chuo, na binafsi sielewi, huu ndiyo...
13 Reactions
143 Replies
3K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu Natumaini wote wazima kwa yoyote mwenye changamoto MWENYEZI MUNGU ATASAIDIA, Basi nimekutana na mtu huko anasema kwanini Eti ngo'mbe wa laki nane analala nje...
6 Reactions
6 Replies
388 Views
Kwa kweli, kwa kuwa mwaminifu wa dhati katika maoni yangu ya unyenyekevu, bila kuwa na hisia na bila shaka bila kumuudhi mtu yeyote ambaye anafikiri tofauti na mtazamo wangu ...na bila uongo kwa...
4 Reactions
7 Replies
278 Views
Huyu jamaa kwa kweli ni Guru, Ila siku za karibuni amepoteza kabisa mvuto na content pia. Nyuzi anazotuma zinakosa kabisa wachangiaji, kiasi kwamba kuanzia post ya kwanza hadi ya ishirini ni yeye...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Swali (marks 1 kwa Kila jibu) Picha hii ina vipande 6 .Kila kipande kina picha yenye fumbo.Jaribu kutafsiri moja baada nyingine. Vidokezo Maneno na maumivu Kuchapakazi na Udhaifu Maneno na...
1 Reactions
3 Replies
272 Views
Salamu wakubwa jaman nilikua na survey Kuna member since 2007 ndo natambaa sijui ila ivi mnajuaga kama Kuna watu wamepotea, au hatupo nao Tena ila muendelee kutupa madini nawaheshimu viongozi...
23 Reactions
163 Replies
3K Views
Hapa nikiwa Markiti KAD-AFLAHA MANTAZAKKAA!-Hakika amekwishafaulu aliyejitakasa na mabaya WADHAKARASMA RABBIHI FASWALA! - Akakumbuka jina la MOLA wake na akaswali BALTUUTHIRUUNAL...
17 Reactions
61 Replies
6K Views
International Day Of Tolerance' Every 16th of November. Smart911 tumechoka vimesemo vya mara ooh acha waje wakupe muongozo, haunaga cha kusema kingine haha anyway much love bro.
32 Reactions
351 Replies
11K Views
Ulioa ukiwa na miaka Mingapi?
10 Reactions
83 Replies
3K Views
Umealikwa mtaani penu Kuna shughuli umbali wa km 1 kutoka kwenu unatembea kwa miguu mara baada ya mvua kuisha, kwa bahati mbaya wakati unakaribia kwenye tukio ukateleza na kukaa chini topeni nguo...
1 Reactions
4 Replies
281 Views
Sio kunguru wala bundi ni ndege aka aeroplane kwa lugha ya kihaya Hivi wakuu kweli nishindwe kumiliki hata hutu tundege tudogo tunapitaga hapo juu hadi unaona ngondi za suka anakanyagia klachi...
2 Reactions
1 Replies
213 Views
Salaam wana jamvi! Wajuzi wanasema kua yuaone. Kama tunavyohua mabachela watafutaji hususani wanao anza maisha wengi wetu tuliotokea kwenye familia dhaifu kiuchumi tunaanzia kwenye ghetto ndo...
15 Reactions
85 Replies
11K Views
Back
Top Bottom