Search results

  1. peno hasegawa

    Ninaomba mwenye CV ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu

    Wakuu, nimelala nikiwaza namna ya kupata CV niliyoutaja hapo juu. Wengi tutajiuliza,ninaitafuta ya kazi Gani? Niwe muwazi kuwa ubinafishwaji wa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro ( KIA), ubini wake nimeuona unafanana na kile watanzania wengi wanachokiwaza. Nikiipata,nitaweka wazi Kila kitu...
  2. peno hasegawa

    President Samia Suluhu Hassan will receive another honorary doctorate in aviation management from Korea Aerospace University (KAU)

    President Samia Suluhu Hassan will receive another honorary doctorate in aviation management from Korea Aerospace University (KAU) during her visit to South Korea. This will be her fifth honorary degree since she came to power on March 19, 2021. The degree will be awarded in honor of her...
  3. peno hasegawa

    Kuelekea 2025 Kwanini CCM mnapenda kufanyia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama eneo la stendi ya mabasi?

    Inasikitisha sana, Katibu Mkuu wa chama tawala kupelekwa stand ya mabasi kufanya mkutano na kusikiliza kero za wananchi. CCM ni kikubwa na kina miaka zaidi ya 40, kwanini kifanyie mkutano stendi ya mabasi? Wamekosa uwanja wa kufanyia mkutano huo? Kuna siri kubwa inafichwa na viongozi wa chama...
  4. peno hasegawa

    Serikali yatumia Tsh. Bilioni 30.5 kutokomeza ukatili wa wanawake na watoto

    Tathmini ya utekelezaji wa mpango kazi wa kwanza wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto inaonyesha jumla ya Sh30.5 bilioni zimetumika katika utekelezaji wa afua za kukabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto. 2. Hizi fedha zilitumika kufanya kazi zipi na wapi? 3. Hii wizara...
  5. peno hasegawa

    Dr Mollel : Naibu waziri wa Afya tunaomba uweke hapa Waraka Namba Moja wa mwaka 2021 wa wizara ya afya wa kutokuzuia maiti .

    Sasa wananchi wamekuwa wakinyanyaswa kupewa wapendwa wao,kwa ajili yamazishi. Tunaomba huo waraka No.1/2021 wa wizara ya Afya uwekwe hapa tuuone na tuusome na ubandikwe kwenye maeneo husika nchini.
  6. peno hasegawa

    TAWLGU wanachama wenu 13 wamesimasishwa kazi Arumeru kupisha uchunguzi.

    https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/watumishi-13-arumeru-wasimamishwa-kazi-tuhuma-ubadhirifu-wa-sh600-milioni-4639766
  7. peno hasegawa

    CCM huu mfumo wa uongozi wa Mwenyekiti wa Wilaya na mikoa unawasadiaje mbona wizi wa fedha za serikali ni mkubwa maeneo hayo?

    Ukimsikiliza makonda kwenye mikutano yake ,inaonyesha ccm imeshindwa kuisimamia serikali ngazi ya wilaya na mikoa. Hao wenyeviti wa ccm wilaya na mikoa,kupitia kamati za siasa wanashindwa kukagua miradi na kutoa taarifa mapema hadi milioni 600 zinaibiwa? Hizo kamati za siasa za wilaya...
  8. peno hasegawa

    Orotha ya Wakuu wa Mikoa ambao wananchi wanateseka na kero na hawasikilizi kero za wananchi

    Wananchi wanateseka na hawana mtu wa kumlilia shida walizo nazo. 1. Mkuu wa mkoa wa Mbeya. Kero ni Barabara, maji, umeme, maeneo mengi hayana vituo vya polisi. 2. Mkuu wa mkoa wa Manyara. Kero Barbara, maji na umeme.
  9. peno hasegawa

    Mkurugenzi badala ya kufanya na kusimamia usafi ambao ni kero mjini, aibukia pengine

    https://youtu.be/tXr0IShfWjk?si=WZ90OgpxtV42FP66 Nimesikiliza ila bado napingana na juhudi zinazo semwa juhudi hizi ni usiasa tu hazina utekelezaji tunataka kuwaambia iwàpo taka mnataka zisitolewe njee mpaka gari ipite mnataka kuficha uzembe wenu wa kubeba taka Ili ziwe majumbani na zisionekane...
  10. peno hasegawa

    TANZIA Elinaike O. Ulomi amefariki Dunia.

    Ninatoa pole sanaa Kwa familia ya Ndg. PATRICK NGILOI ULOMI Kwa kuondokewa na Mama Yao mpendwa hakika wamekuwa kati majonzi makubwa ya kuondokewa na muhimili na nguzo imara ya familia nawapa pole sana na kuwatakia subra tele kutokana na msiba huu mkubwa uliowapata kipindi bado mna mna muhitaji...
  11. peno hasegawa

    Video: Spika akiwa Cairo, chini Misri tarehe 22 May, 2024.

    Kwa Hali hii,tutarajie nini???? Tumepigwa na kitu kizito! Misri wanakuja nchini kuwekeza Kwa Kasi kubwa. Hii Ke tunaowaamini,tunauzwa mchana peupe.
  12. peno hasegawa

    DOKEZO Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna P. Makakala kuna wahamiaji haramu kutoka China kwenye Wilaya ya Chunya, Kata ya Matundasi, Kijiji cha Itumbi

    Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Tanzania ondoka ofisini, na fanya ziara za kiwilaya na kimikoa, nenda katembelee wilaya ya Chunya, Kata ya Matundasi, Kijiji cha Itumbi, kuna wahamiaji haramu kutokea nchini China. Ukifika hutauliza utajionea mwenyewe. Watu kutokea nchi hiyo ni wengi kupitiliza...
  13. peno hasegawa

    Ili ufanye harusi au sherehe Moshi lazima ulipe Kodi za Manispaa Tsh. 230,000

    Manispaa ya Moshi chini ya Sheria ndogo za (ada na ushuruj ya Mwaka 2019, Tangazo in Serikali Na. 148 la Tarehe 15/02/2019, imeainisha ada na tozo mbalimbali katika kuendesha sherehe kwenye kumbi na maeneo ya starehe. Mchanganuo wa ada na tozo hizo ni kama ifuatavyo; Tshs. 60,000.00, Kibali...
  14. peno hasegawa

    Orodha ya Barabara mbovu za Tanroads, nchini Tanzania na ambazo hazina Lami na ziko kwenye uchumi mkubwa wa Nchi

    1. Kitunda (Tabora) - Rungwa - Kambi Katoto - Lupa tingatinga - Makongorosi ( Chunya). 2. Rungwa - Kintanula - Itigi (Singida). 3. Mererani - Orkesmet - Kiteto (Manyara). 4. Geita - kwenda Kahama 5. Tarime kwenda Serengeti kupitia Mugumu. Cha kushangaza, serikali kwa miaka 60 ya uhuru, ina...
  15. peno hasegawa

    Madaktari Bingwa wa Rais Samia, wameajiriwa Upya au ni madaktari kutoka Nje ya nchi? Au ni wanasiasa wanajiita hivyo?

    Kuna madaktari nimewasikia wako mtaani ,wanajulikana kama Madaktari Bingwa wa Rais Samia. Mwenye uelewa WA jambo hili tafadhali. Kuna kundi jingine wanajiita wezi WA mama Samia wako songea,. Haya makundi ni ya kitaalamu au ni makundi ya kisiasa?
  16. peno hasegawa

    Dkt. Kigwangalla Haonekani Jimboni : Jimbo la Nzega Vijinini liko wazi 2025

    Mungu mkubwa Jimbo liko wazi!!! Miaka mitano, haonekani Jimboni. Jimbo la Nzega liko wazi!!
  17. peno hasegawa

    Huu mradi mwenye mawazo ya kuupongeza tukutane hapa.

    Sikiliza ,na tukutane tuujadili
Back
Top Bottom