Jemedari pumzika kwa amani nyakati na majira yatakukumbuka. Hukuwa mbaya ila mfumo ulikufikisha vile ulikuwa. Ila ulikuwa the best president of all time. RIP JPM
Chuma hatari... ila dam ya huyu mwamba sio yakumwaga wanao juwa code watanielewa. Kuna dam ukimwaga una mwaga dam mpaka za paka na sisimizi. Well no one know how game will end. Hata hivyo tusisahau ya JPM na vile Mungu aliamua mchukua mja wake. Hili Taifa nilakuogopa sana watu wakianza kulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.