Zulfa, uko wapi kwa sasa?

Habari za mchana ndugu wana Jf..
Once again, nzi chuma hadhuriwi na uvundo yupo hapa.

Wakati nikiwa chuo Moro town, nakumbuka niko 3rd year na nlikua naishi kitaani mbali kidogo na chuo.

Siku moja usiku wa saa 1 (muda wa dinner) nilikua nimetoka lecture naelekea home kupata kiporo changu ambacho nilipika asubui kabla sijatoka na kupumzika magetoni, nikakutana na dada anatembea kinyoonge sana.

Unyonge wa huyu dada ulinishawishi nimuulize kulikoni?! Akanieleza kuwa hakuwa na pesa ya msosi asee.. daah! Nilimuangalia yule binti amevalia sketi yake na blauzi na mtandio kichwani. Nilijisikia vibaya sana.

Unajua sisi tuliozaliwa masikini tunaelewa haraka sana mtu akikwambia hajakula. Unaelewa anavyojisikia. Alinieleza kuwa hana hata 100 na hajala tangu asubuhi. Alikua anazunguka zunguka tu pale maeneo ya chuoni, maskinii..!!

Dada Zulfa alikuwa anasoma Diploma ya IT pale chuoni, na wazazi wake ni maskini wa kutupwa huko Vikindu ndani ndani..!

Huruma yangu ikanifanya nimwambie tuongozane twende geto akale, chakula kipo. Basi haooo mpaka kitaa.. kafika room kapasha moto kiporo kwenye gesi, akapasha moto na mboga, akapakua na kunikaribisha tule. Zulfa alikua anatetemeka kwa njaa.

Nikamwambia apakue sahani nyingine, ile ale yeye (Ofcoz ilikua imejaa sana, na aliifuta yote).

Baada ya msosi, ni kama Zulfa alitaka kulipa fadhila hivi.. akanisogelea nilipokua nimekaa pale kitandani, akazungusha mkono wake kiunoni kwangu, akaniangalia usoni na kunambia "asante sana Nzi Chuma, umenipa nguvu".

Daah...!! Hisia za mapenzi zikanipanda, nikajikuta nami naanza kupapasa mwili wake.. nikatalii huko mapajani mpaka nikaifikia chup* yake, wakati nimepitisha mkono katikati ya pichu, nikagundua kuwa pale katikati kabisa pana tobo.. daah.. nikajisemea moyoni kuwa "maskini tunasoma kwa shida sana, ina maana Zulfa hana hata hela ya kununua chup* mpya?".

Nikatomasa sana kisha nikaitupa pembeni ile sketi yake, baadae nikampelekea moto kupitia palepale kwenye ile tobo (sikuona haja ya kuivua chup*).

Baada ya kupiga show ndefu, tumemaliza saa 5 hivi, Zulfa akasema hawezi kuondoka tena, ataondoka Alfajiri. Ila hapo ndipo akafunguka na kunieleza kuwa yupo mwanaume aliyemrubuni na kumzalisha ingawa hamjali tena. Yeye akamuacha mtoto kwa bibi yake na kuamua kwenda shule kusoma tu. Anaamini elimu ndiyo itakayomkomboa katika umasikini.

Kiukweli sikuwa na hamu ya kupiga mashine tena baada ya ile siku. Mara kwa mara nilikua namsaidia Zulfa pesa ya kula tu. (Nlikua nagawana nae boom). Mpaka nilipomaliza chuo na kupoteza simu na namba yake. Zulfa hakunitafuta tena huku mtaani. Where are you Zulfa??!! Nakutafuta nijue unaendeleaje

Mungu akusaidie.
 
Mbona hizo taarifa ni kama huyu huyu wa hapa๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Ni kweli alitengeneza mazingira,ila haukutakiwa kula mzigo kama vijana wanavyosema, ukichukulia matatizo ya mwezio kama ngazi ya kutii kiu yako hauwezi kupata baraka, kwa jinsi ulivyofanya haukuwa na tofauti na katili yoyote. ulipoona tobo hadi kwnye chupi ulitakiwa kujiongeza na kuishi hapo na kukituliza kichwa kidogo. kama ulivutiwa nae na kulikuwa na ulazima wa wewe kumla ungetafuta siku nyingine.

Siku nyingine usitembee na mwanamke kama malipo ya msaada wako kwake, ikiwa kweli umempenda mtafute kwa wakati mwingine, kama haujampenda usithubutu kabisa kumla maana huo ni ukatili kama ukatili mwingine.​
Sasa kama huyo demu alikua na njaa zote mbili kula na kutombwa ulitaka iwaje.....? Wanaume acheni kuwaona wanawake wenyewe ndio hawapendi kitombo...
 
Sasa kama huyo demu alikua na njaa zote mbili kula na kutombwa ulitaka iwaje.....? Wanaume acheni kuwaona wanawake wenyewe ndio hawapendi kitombo...
Umemaliza kaka. Watu wanaona kma niliforce
 
Sasa kama huyo demu alikua na njaa zote mbili kula na kutombwa ulitaka iwaje.....? Wanaume acheni kuwaona wanawake wenyewe ndio hawapendi kitombo
Japo umetumia neno kali kidogo, najua wanawake nao upenda lakini unatakiwa kuangalia mazingira. sio kila mwanamke anayekubali kuvua chupi baada ya kumpa msaada anakuwa ameridhia kutoka moyoni.
 
Japo umetumia neno kali kidogo, najua wanawake nao upenda lakini unatakiwa kuangalia mazingira. sio kila mwanamke anayekubali kuvua chupi baada ya kumpa msaada anakuwa ameridhia kutoka moyoni.
Hakuombwa mkuu, ni yy ndo aliamua kulipa fadhila. Nasisitiza nia ilikua njema tu ya kumsaidia, HAKUOMBWA MZIGO, ALITOA MWENYEWE.
 
Moja kati ya principles zangu, siwezi kulala na mwanamke ninaekutana nae akiwa anahitaji msaada wa kifedha. I won't take advantage of her troubles. Nayajua mateso ya umasikini!
Hata hao wanawake wanaokupa penzi ni kwa sababu ya shida za kiuchumi kama Zulfa. Tofauti hapo ni kuwa Zulfa alikuwa na njaa siku hiyo hivyo alilazimika kutoa waziwazi wakati hao wanawake wengine kwa kuwa hawana njaa ya ugali kwa siku hiyo wanaweza kuvuta muda ndio maana kwa upande wako unaita huduma, honga au jina lolote lakini ni kutumia shida hizo hizo kupata penzi.

Mwanamke kama hana shida ya kiuchumi kumpata ni vigumu sana vinginevyo tupe ushuhuda hapa kuwa wanawake unaotembea nao huwapi pesa na inawezekana tangu uzaliwe hujawai kupata penzi la bure.

Mleta mada yuko sawa maana alihonga chakula kama wengine wanaohonga lifti, kodi ya chumba, ada, hela ya vocha na simu ili kupata penzi.
 
Hata hao wanawake wanaokupa penzi ni kwa sababu ya shida za kiuchumi kama Zulfa. Tofauti hapo ni kuwa Zulfa alikuwa na njaa siku hiyo hivyo alilazimika kutoa waziwazi wakati hao wanawake wengine kwa kuwa hawana njaa ya ugali kwa siku hiyo wanaweza kuvuta muda ndio maana kwa upande wako unaita huduma, honga au jina lolote lakini ni kutumia shida hizo hizo kupata penzi.

Mwanamke kama hana shida ya kiuchumi kumpata ni vigumu sana vinginevyo tupe ushuhuda hapa kuwa wanawake unaotembea nao huwapi pesa na inawezekana tangu uzaliwe hujawai kupata penzi la bure.

Mleta mada yuko sawa maana alihonga chakula kama wengine wanaohonga lifti, kodi ya chumba, ada, hela ya vocha na simu ili kupata penzi.
Umeandika kiume sana.
 
Habari za mchana ndugu wana JF. Once again, nzi chuma hadhuriwi na uvundo yupo hapa.

Wakati nikiwa chuo Moro town, nakumbuka niko 3rd year na nlikua naishi kitaani mbali kidogo na chuo.

Siku moja usiku wa saa 1 (muda wa dinner) nilikua nimetoka lecture naelekea home kupata kiporo changu ambacho nilipika asubui kabla sijatoka na kupumzika magetoni, nikakutana na dada anatembea kinyoonge sana.

Unyonge wa huyu dada ulinishawishi nimuulize kulikoni?! Akanieleza kuwa hakuwa na pesa ya msosi asee.. daah! Nilimuangalia yule binti amevalia sketi yake na blauzi na mtandio kichwani. Nilijisikia vibaya sana.

Unajua sisi tuliozaliwa masikini tunaelewa haraka sana mtu akikwambia hajakula. Unaelewa anavyojisikia. Alinieleza kuwa hana hata 100 na hajala tangu asubuhi. Alikua anazunguka zunguka tu pale maeneo ya chuoni, maskinii. Dada Zulfa alikuwa anasoma Diploma ya IT pale chuoni, na wazazi wake ni maskini wa kutupwa huko Vikindu ndani ndani.

Huruma yangu ikanifanya nimwambie tuongozane twende geto akale, chakula kipo. Basi haooo mpaka kitaa.. kafika room kapasha moto kiporo kwenye gesi, akapasha moto na mboga, akapakua na kunikaribisha tule. Zulfa alikua anatetemeka kwa njaa.

Nikamwambia apakue sahani nyingine, ile ale yeye (Ofcoz ilikua imejaa sana, na aliifuta yote). Baada ya msosi, ni kama Zulfa alitaka kulipa fadhila hivi.. akanisogelea nilipokua nimekaa pale kitandani, akazungusha mkono wake kiunoni kwangu, akaniangalia usoni na kunambia "asante sana Nzi Chuma, umenipa nguvu".

Dah! Hisia za mapenzi zikanipanda, nikajikuta nami naanza kupapasa mwili wake.. nikatalii huko mapajani mpaka nikaifikia chup* yake, wakati nimepitisha mkono katikati ya pichu, nikagundua kuwa pale katikati kabisa pana tobo.. daah.. nikajisemea moyoni kuwa "maskini tunasoma kwa shida sana, ina maana Zulfa hana hata hela ya kununua chup* mpya?".

Nikatomasa sana kisha nikaitupa pembeni ile sketi yake, baadae nikampelekea moto kupitia palepale kwenye ile tobo (sikuona haja ya kuivua chup*).

Baada ya kupiga show ndefu, tumemaliza saa 5 hivi, Zulfa akasema hawezi kuondoka tena, ataondoka Alfajiri. Ila hapo ndipo akafunguka na kunieleza kuwa yupo mwanaume aliyemrubuni na kumzalisha ingawa hamjali tena. Yeye akamuacha mtoto kwa bibi yake na kuamua kwenda shule kusoma tu. Anaamini elimu ndiyo itakayomkomboa katika umasikini.

Kiukweli sikuwa na hamu ya kupiga mashine tena baada ya ile siku. Mara kwa mara nilikua namsaidia Zulfa pesa ya kula tu. (Nlikua nagawana nae boom). Mpaka nilipomaliza chuo na kupoteza simu na namba yake. Zulfa hakunitafuta tena huku mtaani. Where are you Zulfa? Nakutafuta nijue unaendeleaje
Hivi huwa mnapotezaje simu? ๐Ÿ˜Ÿ
 
Nikupe namba yake?
Habari za mchana ndugu wana JF. Once again, nzi chuma hadhuriwi na uvundo yupo hapa.

Wakati nikiwa chuo Moro town, nakumbuka niko 3rd year na nlikua naishi kitaani mbali kidogo na chuo.

Siku moja usiku wa saa 1 (muda wa dinner) nilikua nimetoka lecture naelekea home kupata kiporo changu ambacho nilipika asubui kabla sijatoka na kupumzika magetoni, nikakutana na dada anatembea kinyoonge sana.

Unyonge wa huyu dada ulinishawishi nimuulize kulikoni?! Akanieleza kuwa hakuwa na pesa ya msosi asee.. daah! Nilimuangalia yule binti amevalia sketi yake na blauzi na mtandio kichwani. Nilijisikia vibaya sana.

Unajua sisi tuliozaliwa masikini tunaelewa haraka sana mtu akikwambia hajakula. Unaelewa anavyojisikia. Alinieleza kuwa hana hata 100 na hajala tangu asubuhi. Alikua anazunguka zunguka tu pale maeneo ya chuoni, maskinii. Dada Zulfa alikuwa anasoma Diploma ya IT pale chuoni, na wazazi wake ni maskini wa kutupwa huko Vikindu ndani ndani.

Huruma yangu ikanifanya nimwambie tuongozane twende geto akale, chakula kipo. Basi haooo mpaka kitaa.. kafika room kapasha moto kiporo kwenye gesi, akapasha moto na mboga, akapakua na kunikaribisha tule. Zulfa alikua anatetemeka kwa njaa.

Nikamwambia apakue sahani nyingine, ile ale yeye (Ofcoz ilikua imejaa sana, na aliifuta yote). Baada ya msosi, ni kama Zulfa alitaka kulipa fadhila hivi.. akanisogelea nilipokua nimekaa pale kitandani, akazungusha mkono wake kiunoni kwangu, akaniangalia usoni na kunambia "asante sana Nzi Chuma, umenipa nguvu".

Dah! Hisia za mapenzi zikanipanda, nikajikuta nami naanza kupapasa mwili wake.. nikatalii huko mapajani mpaka nikaifikia chup* yake, wakati nimepitisha mkono katikati ya pichu, nikagundua kuwa pale katikati kabisa pana tobo.. daah.. nikajisemea moyoni kuwa "maskini tunasoma kwa shida sana, ina maana Zulfa hana hata hela ya kununua chup* mpya?".

Nikatomasa sana kisha nikaitupa pembeni ile sketi yake, baadae nikampelekea moto kupitia palepale kwenye ile tobo (sikuona haja ya kuivua chup*).

Baada ya kupiga show ndefu, tumemaliza saa 5 hivi, Zulfa akasema hawezi kuondoka tena, ataondoka Alfajiri. Ila hapo ndipo akafunguka na kunieleza kuwa yupo mwanaume aliyemrubuni na kumzalisha ingawa hamjali tena. Yeye akamuacha mtoto kwa bibi yake na kuamua kwenda shule kusoma tu. Anaamini elimu ndiyo itakayomkomboa katika umasikini.

Kiukweli sikuwa na hamu ya kupiga mashine tena baada ya ile siku. Mara kwa mara nilikua namsaidia Zulfa pesa ya kula tu. (Nlikua nagawana nae boom). Mpaka nilipomaliza chuo na kupoteza simu na namba yake. Zulfa hakunitafuta tena huku mtaani. Where are you Zulfa? Nakutafuta nijue unaendeleaje
0678055361 mrembo Zulfa
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom