Tatizo la ZUKU kifurushi kikiisha uwezi kuona channel yoyote ile, na kwa upande wa Local channel wanazo chache Sana, ITV haipo, clouds Halisi haipo, na zingine nyingi, Ila kwa upande wa picha Ni nzuri.Siko hapa kwaajili ya kuharibu biashara za watu lakini kwenye ukweli tuseme zuku hawako vizuri na ndio maana unaona huko sokoni hawafanyi vizuri wanalalamikiwa hasa upande wa mawimbi yasio tulia yaani
Ubora wa picha Ni mzuri, Ila kifurushi kikiisha huwezi kuona channel yoyote, ITV haipo, CLOUDS original haipo,Nimechoshwa na Startimes nataka ninunue zuku jee wapo vizuri?
Local channel kubaki baada ya kifurushi jee
Ubora wa picha jee wana HD?
DuuhTatizo la ZUKU kifurushi kikiisha uwezi kuona channel yoyote ile, na kwa upande wa Local channel wanazo chache Sana, ITV haipo, clouds Halisi haipo, na zingine nyingi, Ila kwa upande wa picha Ni nzuri,,
Me nnacho changu mtu akitaka hata bure nampa
Kama shida ni local chanell funga Dishi la Fta.Nimechoshwa na Startimes nataka ninunue zuku jee wapo vizuri?
Local channel kubaki baada ya kifurushi
King'amuzi Cha zulu, unaweza kukiset kikatoa hizo internet, au?Naona saivi Zuku wanauza unlimited internet kwa mwezi, biashara ya ving'amuzi kidogo imekuwa taabu kwao
Hapana, wanasambaza internet kupitia fiber maeneo ya masaki, mikocheni na kinondoni baadhi ya sehemuKing'amuzi Cha zulu, unaweza kukiset kikatoa hizo internet, au?
Vice versa, fiber internet ya Zuku inaweza ikakupa chanell za zuku.King'amuzi Cha zulu, unaweza kukiset kikatoa hizo internet, au?
Hapo sio kweli. Zuku ina option ya kusearch FTA (Free to Air) channels. Hata usipolipa hizo FTA zipo japo si za bongo lakini atleast unaweza papasa macho. Channel kama DW, france 24, nhk, RT etc huwa zipo uanona bure. Ila kwa channel za bongo hao wana TBC tu na labda zile za sinema.Tatizo la ZUKU kifurushi kikiisha uwezi kuona channel yoyote ile, na kwa upande wa Local channel wanazo chache Sana, ITV haipo, clouds Halisi haipo, na zingine nyingi, Ila kwa upande wa picha Ni nzuri.
Me nnacho changu mtu akitaka hata bure nampa