Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Duh...!Hakuna siku niliyofurahi Kama hii baada ya US secretary of state kum blacklist Makonda Kama mtu hatari asiyetakiwa kukanyaga ktk taifa hilo kubwa Duniani kuliko yote..
Ni Makonda amekuwa akitumia madhabahu za Kanisa la Mungu kujifanya kwamba yeye ni mcha Mungu kumbe ni mtu aliyejaa uovu wa kila aina .
CIA wana ushahidi wote jinsi Makonda alivyohusika ktk mission ya mauaji ya Ben Saanane na jaribio la mauaji ya Tundu Lissu yaliyofeli .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika ktk kutengeneza Photoshop video ya kumchafua Mtumishi wa MUNGU Gwajima .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika na mauaji ya mamia ya watu waliokuwa wakitoswa Baharini na mto Ruvu .
Lakini lengo la Marekani siyo Makonda, bali mfadhili wake, huyu ndiye hasa wanayemtafuta kwa udi na uvumba..
Tumemwomba sana Mungu ili Haya mambo yafike tamati, hatimaye muda umefika sasa. ..
Moto umewaka, taratibu utaunguza kila kilichokusudiwa.
Nimeshaandika mara nyingi humu kuwa Damu isiyo na hatia inamlilia Mungu ikidai kisasi.
Damu ya Azory Gwanda, Damu ya Alphonce Mawazo, Damu ya Ben Saanane na wengine wengi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
P