visagold
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 327
- 176
Hii ngumu sana jambo kwa ujeuri linaweza kufanyika ila ni ngumu kupinga diplomacy relationship na taifa kama marekani ukizingatia ww ndo taifa chipukizNategemea kusikia kesho Balozi wa Tanzania nchini Marekani karejea Tanzania na wa Marekani nchini Tanzania kareja Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app